kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,636
- 2,880
Wana JF..
Jana kulikuwa na kongamano la wanawake na akina dada ambalo liliongozwa na Mkurugenzi wa ITV na RADIO ONE wanasema "mwanamke ni sawa na Mwanaume tena kuna Nyanja mwanamke kamzid mwanaume" je! Kuna ukwel wowote katika hili..
waache hao wa beijin wajifurahishe cuz wapo usingizin bado wakiamka watakuta hakuna kitu km hicho wanachokifikiria na wala hakitakaa kitokee.