haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 1,481
- 3,551
Je ni vitu gani vinaashiria uanaume na ni vipi vinaharibu uanaume?
Kwangu mimi naona mwanaume, pamoja na kua na maumbile ya kiume, mwanaume anathibit hisia zake na kutumia mantik/ akili yake. A man can set aside his emotions and lust and using his logic/ and intelligence on making decisions, Mostly for the long term gain or for a big win( which might involve family, community or even a country).
Unaweza kua na nafasi ya kufanya jambo ila ukilitazama ki mantik unaona halifai japo linaweza kukupa furaha ya muda mfupi, basi unaachana nalo.
Mfano mi ni handsome, wadada wengi wananitaka, je nitembee nao wote? Jibu ni NO, lazima utumie mantiki, usiongozwe na hisia, that is how to be a man.
so be clean, soft, nice scent , strong in mind and body, the rest will follow. And that is who I am.
Kwangu mimi naona mwanaume, pamoja na kua na maumbile ya kiume, mwanaume anathibit hisia zake na kutumia mantik/ akili yake. A man can set aside his emotions and lust and using his logic/ and intelligence on making decisions, Mostly for the long term gain or for a big win( which might involve family, community or even a country).
Unaweza kua na nafasi ya kufanya jambo ila ukilitazama ki mantik unaona halifai japo linaweza kukupa furaha ya muda mfupi, basi unaachana nalo.
Mfano mi ni handsome, wadada wengi wananitaka, je nitembee nao wote? Jibu ni NO, lazima utumie mantiki, usiongozwe na hisia, that is how to be a man.
- Kusafisha kucha saluni hakuondoi uanaume,
- Kufanya skincare hakuondoi uanaume
- Kunukia vizuri na kua na ngozi nyororo hakuondoi uanaume
- kufanya masaji hakuondoi uanaume
- Kua mzuri hakuondoi uanaume.
so be clean, soft, nice scent , strong in mind and body, the rest will follow. And that is who I am.