Mwanaume mzima unategea kulipa bili

Mwanaume mzima unategea kulipa bili

Heheheheheheeeeeeeee poleeeee

Ungemfata huko huko chooni umpe bili alipe
 
Wazungu hawana hizi za kutegemeana kama vile kulikuwa na MoU ya ku-cover costs zako...unalipia chako na yeye chake and still penzi mnali-enjoy bila kikomo!
 
Wanaume jamani ukimwalika mtu out bili ni juu yako

Mkipanga out bili mnagawana pasu pasu

Akikualika out bili juu yake


Na wanaume msidate wanawake ambao sio standard yenu ndio mnaishia kukimbilia vyooni

Wanawake mbebe hela ya emergency na kama mnaona mwanaumw tia maji tia maji usikubali mwaliko wake
 
Yaani boora umetuwakilisha kwa kuongelea hili.....Yaani mimi yalishawahi kutokea ktk dinner...

Ila nikimuona hivi hatoniona teeena nikitoka nae...Kila siku unakuwa busy ukisikia anataka mwende sehemu...Toka peke yako ....Wanakera sana...
i wish you are not that type...
 
imekuwaje tena............? amekukopa kisha kala kona......!!!
Wanaume hamfai kabisa siku hizi,unapanga kidate na mdada ,wakati wa kulipia bili mwanaume mzima na midevu yako unazamia chooni,
Ndo maana Siku hizi wanaume wengi mnaishia kuwa mabwabwa kwa kupenda vya bure
Mtabinuliwa mpaka muharishe damu
 
Pole sana, what wont kill you will make you stronger.
 
Ndio maana mie kama sina kitu natoa visababu ili tusiende, wewe umetoka na mtu hata senti mfukoni huna, ukikanyaga nyanya za watu njiani utalipaje!!! Lakini kama mdada anaelewa dhana ya cost sharing haina shina, anatoa tu then next time unamtoa tena aenjoy sana.
 
Wanaume jamani ukimwalika mtu out bili ni juu yako

Mkipanga out bili mnagawana pasu pasu

Akikualika out bili juu yake


Na wanaume msidate wanawake ambao sio standard yenu ndio mnaishia kukimbilia vyooni

Wanawake mbebe hela ya emergency na kama mnaona mwanaumw tia maji tia maji usikubali mwaliko wake
Wachache wenye uelewa kama wako dada..!
 
Wanaume jamani ukimwalika mtu out bili ni juu yako

Mkipanga out bili mnagawana pasu pasu

Akikualika out bili juu yake


Na wanaume msidate wanawake ambao sio standard yenu ndio mnaishia kukimbilia vyooni

Wanawake mbebe hela ya emergency na kama mnaona mwanaumw tia maji tia maji usikubali mwaliko wake

Hii ndiyo sahihi haswaa.
Siyo kualika mtu outing hlf unategemea ajilipie bili.
Kulipia bili ni ufahari sana kwangu.
 
Hahahaha yani kama huna hela usikubali kutoka na mtu ambaye huna uhakika naye. Utakuja siku urudi pekupeku home
 
Back
Top Bottom