Mwanaume mzima unategea kulipa bili

Mwanaume mzima unategea kulipa bili

Ha ha ha ha!!! Pole, wapenda kula vya bure. Umekutana na kijana wa mjini.

Wanawake fanyeni kazi achaneni na hulka ya vya bure. Shenzii typuuuuuu!!!!
 
Yaani boora umetuwakilisha kwa kuongelea hili.....Yaani mimi yalishawahi kutokea ktk dinner...

Ila nikimuona hivi hatoniona teeena nikitoka nae...Kila siku unakuwa busy ukisikia anataka mwende sehemu...Toka peke yako ....Wanakera sana...
 
Utajiju ww itakuwa mtoto wa hostel mna tabu nyinyi chips kuku chips mayai na bavaria juu usikimbiwe tena uskute mara kwanza tuu unakutana na mtu anakufanyia hivo mm nasepa tuu kwa hali hiyoo ndo ukome haki sawa kwa wote
 
Cha msingi ni wewe tu kubadilika,inaonekana unapenda mno kitonga a.k.a senkenke a.k.a mteremko,we kulipa unaona kero eeh?
anyway,le mi giv u a simple xample,kuna siku nilikuwa nchi flani hivi nikiwa na maswahiba wangu ambao na wao nchi hiyo haikuwa ya kwao.wakanialika twende kwenye restaurant inayopika chakula cha kwao atleast na mimi nikaonje chakula cha asili ya kwao.imagine wakati wa kulipa i was given my bill and paid it wakati nilikuwa nimealikwa.BADILIKENI,KITONGA NOMAAAAA
 
hahaaaaaaaa ukute uliagiza vyakula vinywaji hivyoooooooo

mtu akazamia chooni na kwenye kapochii una nauli ya kukurudisha unapokaa LOL

aaah sasa si unamwambia mhudumu subiri jamaa arudi toka toilet???!!!! ila kweli hizi nishaziona sana unajua ile mko sehemu washkaji kibao mmejaz meza,bili ikija kuna msela unaona huyo anaenda toilet wakati wengine mnatumia hela kwenye glass iliokuja na bill...........
 
Sipati picha Blood pressure ilikua inasoma ngapi!

Na kama ulirusha mate sifa nyingi sana kwa wahudumu wakati wa kuagiza, sipati picha walikupaje za uso!

Experience stiff slops sometimes! Nway kama hukufa it will make you strong!

hahahahaha lol heeh duniani mambo kuntuu
 
Wanaume hamfai kabisa siku hizi,unapanga kidate na mdada ,wakati wa kulipia bili mwanaume mzima na midevu yako unazamia chooni,
Ndo maana Siku hizi wanaume wengi mnaishia kuwa mabwabwa kwa kupenda vya bure
Mtabinuliwa mpaka muharishe damu
\

Hahahah pole sana ...Binafsi sitokagi out bila pesa ya kutosha Bill yangu mimi mwenyewe na nikifika kila ninachokula nauliza Bei hapo hapo na kulipa kabisa hapo hapo kikija tu ! Hata Muhudumu anaona hapa mwendo kila mtu analipa chake aisee ...na kama sina Pesa hunitoi nyumbani ....Waume wa .com ni Majanga
 
Jenu asee umefanyia utafiti wako umeufanyia wapi ??? We n.me au ke manake nashindwa kutoa wazo ila kama wewe n mwanamke jamaa uliekua nae jana ulifikir angelipa matokea yake ikala kwako
 
Inaelekea wewe ni 'mchuna buzi'...umekutana na mtoto wa 'tauni' kakulia 'taimingi' unakuja tuletea madharu hapa JF, sie tunakimbilia bili bana..sio kuzikimbia. Date a real man next time!
 
Utajiju ww itakuwa mtoto wa hostel mna tabu nyinyi chips kuku chips mayai na bavaria juu usikimbiwe tena uskute mara kwanza tuu unakutana na mtu anakufanyia hivo mm nasepa tuu kwa hali hiyoo ndo ukome haki sawa kwa wote


Hapo ukute anakula utafikiri kiwavi jeshi kisa analipa mwingine hahahahahahahaha kula ale yeye bili alipe mwingine!
 
Bora unione bwa.ge,lakini nisitoe pesa nyingi kwa mchepuko
 
Siyo tu kulipa bili kuna wanaume wengi tu ni suruali wakikaa anamimina chupa za wenzie unashangaa huyu jamaa bia yake mbona haiiishi mkiagiza raund yake bado ipo ukienda toilet balaa unakuta chupa yako tupu
 
Back
Top Bottom