Mwanaume mzima unashika shika........!


Nawewe huna akili, unatetea ushenzi? Mikoba inabeba vitu vya siri? Pedi ni kitu cha siri kwa mume na mke? Mbona akiivaa hiyo pedi anavaa nikimuona? Pumbavu ukioa utajua haya.
 
Nawewe huna akili, unatetea ushenzi? Mikoba inabeba vitu vya siri? Pedi ni kitu cha siri kwa mume na mke? Mbona akiivaa hiyo pedi anavaa nikimuona? Pumbavu ukioa utajua haya.

Afadhali umesema wewe ningesema mimi mngesema nina chuki na jinsia Ke...!!!

we TanganyikaTANU bichwa lako....!!!!
 
Last edited by a moderator:
Huu uzungu sijui unatupeleka wapi wabongo!!!!!! Yaani mwanamume mzima unakuja kuuliza eti ufanye nini, shit????
 
Kama angekuwa ni mke wangu kwanza angechezeya vitasa halafu maelezo yangefuata baadae sana.Mkuu acha kushikwa maskio kiivyo!
 
Hapa tatizo ni huyu mwanamume.... hajijui au bado hajakua na hajui ndoa ni nini anafikiria ni kufuatana na kusindikizana kazini tu!!!! Kuna siri gani kwenye ndoa, labda kama hamjaoana!!!!
 

na ndio mana wakati mwingine haitakiwi kuishi kwa mazoa alicho fanya uyo Dada si cha kistarabu kuhusu mkoba hakuna kitu ambacho anapaswa kuto ona kwenye mkoba wake jamaa chamsingi afanye uchunguzi kunakitu hapo
 

Mkuu, kwanza nianze kwa kukupa pole kwa huo mtafaruku uliojitokeza baina yako na mkeo, kimsingi hapa kitu kikubwa kilichomfanya mkeo kuwa na gadhabu na kukueleza hayo aliyo kueleza, ni usiri alio uifadhi ndani ya mkoba wake, wenda kwenye hiyo mini laptop au kwenye mkoba wenyewe.

Sasa unapokuwa unafungua kitu ambacho mtu amekiifadhi kwa ajili yake tu, hapo lazima mtu awe mbogo, ila kama hakuna usiri basi kama amechukizwa, angekueleza kwa utaratibu na kamwe asinge tumia lugha ya kukufedhehesha kama aliyo tumia.

Mi nadhani labda alikuwa na vidonge vya ugonjwa ambao hataki wewe uujue, alikuwa na picha au kitu kingine chochote cha jembe lingine, au kwenye hiyo laptop yake, kama una mazoea ya kuiwasha na kuitumia basi haitakuwa na shida, ila kama anaificha na kamwe hataki uiguse, basi hapo kuna kitu. haya ni baadhi tu ya mambo ambayo mkeo anaweza akawa anakuficha kuhusu yeye. It is your job to find out, what exactly is it.
 
Yan nshashikaga mkoba wa mamito nae acha agombe,nikiwa nae road anangangania kunibebea briefcase yangu ila wa kwake ndo hataki hata niguse
 
Ukiona mkeo anakutamkia hayo maneno ujue kabisa anajua udhaifu wako, anajua humfanyi kitu na utaacha mara moja kurukia mkoba wake. Yani anakujua A-Z ndo mana hata wewe umeshindwa kumuuliza unakuja kutuuliza sisi wanaMMU, vile vile siku hizi hakuna wanaume kuna vianaume. Mwanaume lazima ujue kutumia maneno why, where, how etc.
 
1.Ulifanya ghafla coz uliweweseka kutokana na report kutofika,ilibidi umfahamishe unatumia laptop yake kuna issue iko tight kwako.
2. Umetumia lazima akupe na ungeafanya tu kazi yako mkuu.
3.kakosea sana kukumaind kiasi hiki sio heshima hata kidogo haswa kwa mume na mke na hii inashilia kuna jambo lipo zaidi ya laptop lifanyie kazi.
3. busara sana kutumia na kumrudishia kisha kukaa kaumyaa na kutafakari kunanini? ni laptop tu au kuan lingine?
4.kaa nae na muulize tatizo nini? na hujapendezewa na aliichokifanya last time na akuelize kwanini na kunanini?
4.kama kauliza zake hazieleweki, anza kumfuatilia kwa ukaribu nyendo zake.
hawa watu unatakiwa uishi nao kwa hekima sana mkuu, somtimes unawaka kinoma, sometimes unakuwa muungwana usiwe defined sana!
 
nivea nimependa ujumbe wako natumia simu aise ningekupa like ya nguvu.
Haya mapenzi ya tamthilia yanatucost sana vijana aise maana mambo mengine sio ya kufanywa baina ya mke na Mume kwa kauli yake hiyo ni mbaya sana na haikustahili. Hebu kaa nae chini uongee nae umuulize maana ya kauli yake hiyo ya ukali ambayo haikustahili kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Yeah Nivea the guy has got something manly of us are sill looking...............lkn nchi inakuaga na majeshi,usalama wa taifa na mambo kibao lkn huwa zinapindulia saa huyu moja nitashindwa kumpindua,noooo,nahitaji mwanamke wa hivyo,lazima apinduliwe
for sure he is really lucky and happy endeed.hua mimi sio msaliti wa moyo wangu na siishi maisha ya pretending hata siku moja.
 
Aisee hapo hakuna true love! Mchunguze vizuri!
 
Nadhani tuangalie pia upande wa pili, kama mwanamke ndio ananguvu kiuchumi ni rahisi kuwa na jeuri hiyo. Vinginevyo jamaa ana sauti nyororo au ndio wanaume kama mabinti? Komaa maana hapo kuna namna. Ukicheka na Kima utavuna mabua.
 
Mmmmh. Ebwana pole lkn ukumbuke ndoa yako pindi mnafunga jf hawakuwepo jitahidi busara zaidi, huenda alichukia kwakuwa alitegemea baada ya kumwomba utasubili akupe sasa alivyoona umechukua akahisi lbda kuna ki2 unataka kumchunguza sio kweli eti atakuwa na vi2 za siri huenda hapendi kuingiliwa katika mambo yake bila idhini, hebu geuza picha ije kwako ungejickiaje, kakuomba cm hujatoa jibu anayo, na kwa bahati mbaya hukufuta ka sms ka yule dada pale kazin alikokukaribisha chai kwa mbwembwe za mitego!!!!!?
 
 
Hapo kuna kitu zaid ya laptop ili ujue mengi kua mpole kwanza chunguza kimyakimya utapata jibu baada ya hapo chukua hatua
 

yaan leo umenambia kitu alichoniambia my dad miaka 12 hivi iliyopita...hapo kwenye bold/blue hapo...
he said, ina maana mungu ana upendeleo na kuchukua wababa tu na kuacha kina mama?sikuelewa coz by that time i was too young for that...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…