Hayajamani
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 883
- 272
Mark my word :hakuna haki sawa kati ya mwanamke na mwanaume never and it will never be.mwanamke kwa jinsi mungu alivotuumba tupo chini ya miguu ya waume zetu.
Dah!
Mimi kuanzia leo mtu akiniuliza kuhusu mahusiano, uchumba ama ndoa namtukana!!!!
Full stop.
iish....? Kwa nini?
eeeehhh msacha imekuwaje tena
Hahahahahahaahah! We chapamba unamdanganya mwenzio , umchape kwani kawa mwanao, au mtoto, jambo hili si kubwa sanaa, ingawa limemfadhaisha kijana juzi, wanaweza wakaongea na yakaisha,bila ya kupigana .
Ila mm nakuomba Kijana Juzi , usiwe na haraka ya kujua kwa nn amesema hayo maneno kwako ikiwa wewe ni mumewe ,a unafahamu kila kitu. Cha muhimu muite kwa utaratibu muulize alikuwa na maana gani kukwambia hivyo, baada ya kusikiliza utetezi wake, anza kufanya uchunguzi wa kimya kimya ili ufahamu kama kweli ni msafi na anaheshimu ndoa yenu.Hapo utapata ukweli uliofichika ndani ya Hiyo Laptop.
Huyo mkeo hakueshimu mpaka anakuwakia hivyo? mimi ninavyoelewa mkishaoana mnakuwa wamoja sasa mwenzetu privacy inatoka wapi? Privacy huja kwa maelewano na maridhiano lakini sio yakuwa amriwa tena na mkeo aliyepashwa kukuheshimu mbali ya hapo ukiangalia mazingira ya tukio sio ya kuwa ulikuwa unampekua lakini lilikuwa suala la urgency.
Ni vizuri kukaa na mkeo mpendwa na kumuonya juu ya tabia yake, kwani kaonyesha kujishuku as if kuna kitu anaficha............its better you find out what it is.
wanajua sana na wanawake wengi wanaelewa ,wanawake wako so curious tofauti wanaume, kitu cha kwanza mwanamke akikutana na mwanaume yeye hutafuta kuyajua madhaifu yake tu ili aweze kuishi nawe kupitia madhaifu yako na pale ndipo anapokutawala kirahs tofauti na wanaume husoma mke /gf anapenda nini what ever ili akuridhishe sasa nafikiri umejifunza kitu hapa .this is the way women are ni watu wa kupima sana maji na mguu na akikupata kama huyo bwana hapo juu na ndio kitakuwa chanzo cha kifo chake .jiulize ni kwanini wanaume asilimia kubwa hutangulia kufa kabla ya wake zao kma sio ajali? jibu rahisi sana (hapa sizungumzii gf/bf)
kaka pole sana mimi yalishawahi kunikuta hayo,ilikuwa simu naniliomba kuitumia yakwangu iliishapesa kabla sijaruhusiwa mimi nikaichukua maana ilikuwa mezani na yeye alikuwa uani,alipotoka akakuta naongea nayo aliwaka mtoto wa watu akasema siku akiona nimeishika simu yake anaivunjavunja na kuitumbukiza chooni,sasa mimi ni wale vichwa maji kwanza niliamua kuipekuwa na kukuta sms ameandikiwa na mtu simjui no tu,inasema hivi mama fulani kanieleza yaani huku saa hizi nani....inataka kupasua ch.......p,nikasema alaakumbe hiki ndo kinachosababisha yote haya nilichokifanya ni kuivunja vunja ile simu na kuiflash chooni na kipigo juu,hivyo kaka si bure kuna kitu hapo chunguza
Pole mkuu. Kifupi mkeo hakupaswa kukujibu hivyo coz ulimwomba au niseme ulimtaarifu.
Pili.. Kusema kwamba unaruhusiwa au huruhusiwi kufungua laptop yake au mkoba hiyo inategemea na makubaliano yenu nyie au utaratibu ambao huwa mnatumia kwenye ishu za namna hiyo.
To me hilo karipio lingenifungua akili kabisaaaa .. Ndo ningeanza safari ya kumchunguza what's happening
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sisi wanawake ni selfish sana sana ,mfano rahisi utakuta wote mnafanya kazi ila hela itakayotumika ni ya mume tuuu kwa kila kitu home ya kwako niyakuvaa tu soooo selfish .huyo dada ana jambo la ziada lakukuambia juu ya kauli yake .mimilait ningezaliwa mwanaume nsingeruhusu kuchezewa namna hiyo muna thamani kubwa sie viumbe dhaifu na wadogo sana kwenu.mwite kwa sauti mwambie kaa pale explain kila neno ulilolitoa siku ile alaaah unammezea mate ya nini hataki mwambie akapumzike kwao.na at last usipumbazike kingono akiri hayo maneno yake .mwanaume bila udicteta haya matoto ya kike hayaendi,,ni bora kufuga mabata 10 kuliko mwanamke 1.huwa namwambia mume wangu mwanaume lazima uongee kwa sauti ijulikane nibaba ameongea la sivyo hata watoto watakupanda kichwani!!we bana bana pua atakuaibihs hivohivo mbele za watu.
mmmh ni hayo tu au kuna mengine umetuficha?kwani laptop ina privacy gani mpk mtu awake namna hiyo tena mkeo?kuna vitu hujatueleza bana.
Only that, hakuna jingine Purple!!! Kabla ya hapo tulikuwa tunataniana, tunacheka huku safari ikiendelea!!