Mwanaume mtaalamu jikoni

angalau mwanamme mmoja amethubutu sema hali halisi

 

Sasa wale ambao upishi ni kazi unawaweka kundi lipi? Je Ali mapilau ana mapungufu kama akipika pilau la christmas kwa familia.........
 

Haya mawazo ya ajabu sana!!
 

Na hawa wanaopika maotelini wanaitwa je? Au kwavile ni ajira haina noma
 
angalau mwanamme mmoja amethubutu sema hali halisi

Yes,ukweli lazima usemwe kama kuna mtu anaogopa kusemwa ili kamwanamke anakokavizia kasimkatae eti ni ka independeti womani kapotelee huko huko!
 
angalau mwanamme mmoja amethubutu sema hali halisi
Jamani mbona mfumo wa maisha umebadilika ndio maana sasa hata mke kupika inakuwa ngumu,nyumba nyingi sasa kuna wasaidizi wa kazi kwa wale ambao wazazi wote ni wafanyakazi .

Hatukatai kwamba mwanamke anajukumu la kusimamia nyumba kuanzia mapishi, usafi na mengineyo ila kama mwanaume akiamua kupika kwa mapenzi yake yeye sio mbaya ila sio kuwa jukumu lake.

Je wale wanaume ambao wanakipato kidogo je sio wanaume kutokana tu pato la familia linatoka kwa mama.......ukiangalia kwa hivyo mambo mengi sivyo kama inavyoonekana katika jamii.
 
Yes,ukweli lazima usemwe kama kuna mtu anaogopa kusemwa ili kamwanamke anakokavizia kasimkatae eti ni ka independeti womani kapotelee huko huko!

Hamna haja ya kuleta dharau kwenye hii thread.Huyo "ka" au "anaekavizia" wafikishie ujumbe kupitia PM, au waanzishie thread.
 
Watu wanadai eti siku hizi mambo yamebadilika,yamebadilikaje?Majukumu ni yale yale,mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume!Majukumu ya mwanaume hayaweziw ya mwanamke na ya mwanamke hayawezi kuwa ya mwanaume!
 
Ilikuwaje akajikuta huko
alianzaje
sio baada ya kushindwa kufit kwenye kazi za kiume???
Akakimbilia huko?
Ukisoma post za nyuma nimesema angalau wao unaweza waelewa

Sasa wale ambao upishi ni kazi unawaweka kundi lipi? Je Ali mapilau ana mapungufu kama akipika pilau la christmas kwa familia.........
 
Hamna haja ya kuleta dharau kwenye hii thread.Huyo "ka" au "anaekavizia" wafikishie ujumbe kupitia PM, au waanzishie thread.

Kabla sijasema mengi hebu nipe tafsiri ya neno DHARAU,ili nipate uhakika kama unajua unachokizungumza!
 
Nauliza swali:

Kazi za nyumbani kama vile, kupika, kufua, kufagia na kupiga deki, kuosha vyombo, kwenda kisimani/bombani kuchota maji n.k. Tunapata wapi kuwa ni kazi za kike?

Wakati huo huo hizo kazi zikiwa ni za kuajiriwa na kuna kipato ghafla bin vuu, zinageuka kuwa za kiume... Ajabu!

Labda niulize tena hii kusema kuwa hizo ni kazi za kike ni kwa mujibu wa Imani za Dini, Mila na desturi au ni kwa mujibu wa jamii zinazo tuzunguka?

Naomba wale wenye kutaka kujibu watoe reference aidha kwa mujibu wa imani zao au kwa mujibu wa mila na desturi zao, ili tuone kukataa au kukubali kwao kunatokana na sababu fulani.

Karibuni.
 
utakuwa hujaona jibu langu?
Walianzaje?
Sio kwa kushindwa kufit kwenye kazi za kiume?
Na kutafuta refuge kwenye upishi?
Nawaheshimu kwa kuovercome fear zao na kujitokeza katika jamii kama wapishi
kile kitendo cha kujikuta huko tayari ni tatizo
ilianzaje????

Mwenyewe nimeuliza mpaka muda huu sijapata jibu.
 
naona umeanza nielewa sasa
iko kikekike sana
hata kama anapata hela
sababu cha kujiuliza
ni ilikuwaje akajiingiza kwenye upishi
kama sio kwa kushindwa kufit kwa wanamme?

inawezekana ni ajira haina noma lkn imekaa kikikekike vile (ina matiti nadhani)
 
Gender roles zipo tu
tunakataa just to feed our ego
au kuficha misfit zetu kwenye gender tulizopo
au umagharibi zaidi

Watu wanadai eti siku hizi mambo yamebadilika,yamebadilikaje?Majukumu ni yale yale,mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume!Majukumu ya mwanaume hayaweziw ya mwanamke na ya mwanamke hayawezi kuwa ya mwanaume!
 
Ilikuwaje akajikuta huko
alianzaje
sio baada ya kushindwa kufit kwenye kazi za kiume???
Akakimbilia huko?
Ukisoma post za nyuma nimesema angalau wao unaweza waelewa

Chukua tano!Halafu waendelee kulalama eti majibu hawajayaona!
 
Regardless of my relationship status, I cook and clean whenever necessary!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…