Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 2,304
- 5,654
Jaman m nipo fimboyaukwaju 😞
Huoni kuwa wewe ndio mbaguzi na sio yeye!!Huyo anatafuta namna ya kuishi bongo. Walivyo wabaguzi, sina hamu. Hawa magabacholi hawafai hata kidogo.
Hawa sio wa kuwapa uraia warudishwe kwao haraka sana1.Ana umri miaka 36
2.mwislamu
3.Yupo Dar ni injinia
4.Anataka mwanamke mtanzania kwa ajili ya kuishi nae kwa ndoa
5.Awe na umri 25-35
6.Ajue kiingereza
Huyo bwana nimekutana nae hapa mza alikuja kikazi na nikakutanishwa nae na rafiki yangu ambae anajua kuwa passion yangu ni kusaidia watu kuoana
Bado mpakistani hajapata mke japo kanijibu jana,yupo mdada mmoja ndio wanamalizua maongezi naye,huyo dada katokea dodoma
huyo ni mbaguzi,mpakistani hivi sasa anaongea na mdada mmoja mbantu akitokea dodoma na maongezi yanafanyika darHuoni kuwa wewe ndio mbaguzi na sio yeye!!
huyo mpakistani hahitaji uraia,anataka mkeHawa sio wa kuwapa uraia warudishwe kwao haraka sana
aminaAllah amjaalie apate mke mwema mwenye kheri naye
Hawa sio wa kuwapa uraia warudishwe kwao haraka sana
Hata uraia apewe tu chiefhuyo mpakistani hahitaji uraia,anataka mke
sijui maana ni mpakistani mwenye uraia wa canadaHata uraia apewe tu chief
Anaongea na mdada mmoja kutoka dodoma,ambae amemualika yeye,akiambatana na wazazi wake,sasa kwakuwa sishiriki hayo maongezi siwezi kujua,lakini dalili ni njema kwani kagharimia kika kitu na alisisitiza kuwa huyo mdada aje na wazazi wakeVipi bado hajapata? 😂😂😂
ajabuAcha ubaguzi, utakufa utaiacha Tanzania yako, mbona wakenya, waganda, warundi wamejaa huku na hamsemi.
Oooh utaleta mrejesho bas.Anaongea na mdada mmoja kutoka dodoma,ambae amemualika yeye,akiambatana na wazazi wake,sasa kwakuwa sishirikinhayo maongezi siwezi kujua,lakini dalili ni njema kwani kagharimia kika kitu na alisisitiza kuwa huyo mdada aje na wazazi wake
ndio ntauletaOooh utaleta mrejesho bas.