miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Asante mkuumiss chagga una akili sana wewe! mara nyingi point zako zina mashiko!
Asante mkuumiss chagga una akili sana wewe! mara nyingi point zako zina mashiko!
Nani kakuambia ndoa ya Kikristu haivunjwi?Tatizo ndoa zetu hizi za kikristu hazivunjiki hadi kifo. . . Ningevumilia ila upendo na uaminifu kwa mume wangu ungepungua
Ila kama ni uislam taraka fasta
Hahahanimefurah hapo uliposema taraka fasta badala ya talaka. Nikahis hasira zimefanya button zingine zibonyezwe
Best luck mkuuNahisi mimi nishasamehewa kwa hili..
Unless mwanamke atakaye bahatika "The Luck One" awe anajua haya yotee
Basi vizuri kama inavunjwaNani kakuambia ndoa ya Kikristu haivunjwi?
Inavunjwa kama kawaida.
Hi babyBasi vizuri kama inavunjwa
LiniNtarudi.......................
Khaa,uyo atakua chizi bilashaka kiukweli hata mimi tusi limenitoka.Kuna mmoja juzi nilijikuta tu tusi limenitoka bila kutarajia, ni mume wa mtu na anasema yeye LAZIMA azae nje ya ndoa ikiwezekana watoto wawili, sababu ya msingi hata hana. Yaani haya mambo jamani.
umemkuta na mtoto wa nje ukapotezea akadunga tena nje akaleta tena mtoto mara amedunga tena nje mtoto yaani ni series ww upo tu unavumilia itakuwa una ganzi ama nini??


sio rahisi kuachana wakati mwingine watu huwa wana angalia na hali za maisha uachane na mumeo anaenda kuanzaje life??akaanze tena kupanga foleni nyumbani na ndugu?kwa mambo kama hayo ni kujipa moyo tu.Hii hapa inamfaa wifi yangu: alikuta mdogo wangu anae mmoja, kazaa wa 3 nje baada ya ndoa. Eti mimi mungu atanisimsmia. Wanangu watakuja kunifuta machozi. Huyo mdada yaani wifi yangu hakuna mfano wake hapa duniani. Mimi ninadhani hata upumbavu wa ndugu yangu naye anachangai. Angekuwa kakipiga boot nadhani huyo angeacha huo UZINZI wake.![]()
Lakini chamoto anakipata Baba yakoKuendelea inategemea na upendo wako kwake? Na pia je anakudharau? Kama hapana unaweza komaa na ndoa yako as long as unampenda na mnaelewana ila kama hivyo havipo basi we jiondokee aingie ndani huyo mama mtoto .. je dini yako inaruhusu , ndoa za mitala kama ndiyo awe mke mdogo.. mama yangu alikomaa na baba lakini kubwa ili kuwa upendo na mpaka sasa hivi wapo mtoto anasomeshwa aliyezalishwa hana mbele wala nyuma..
LeoLini
Sijui labda chumbani . Aisee wanapendana kwa kweliLakini chamoto anakipata Baba yako
Utatukuta
Atakuwa anamchunga kweli kweli na pengine akichelewa anamurudi kuwa ameaanza uhuni wake au siyo? Unaweza kudhani mama alimsamehe, si kweli bali alipata kiboko cha kumchapia kila mara. Na baba lazima akubali maana yupo guilty. Hapo ndipo huwa nawaheshimu akinamamaSijui labda chumbani . Aisee wanapendana kwa kweli
basi mama anafanya vyema kwa kweli sababu haa mi nimejifunza jambo huwa sigombani na mpenzi wangu mbele ya watu hata iweje .. nitamuacha mpaka tuwe wawili ndiyo niliwashe.. ndiyo maana nilipoachana na maex zangu ahakuna aliyeamini sababu wanajua tunapendana sana teh .. natamani hii isibadilikeAtakuwa anamchunga kweli kweli na pengine akichelewa anamurudi kuwa ameaanza uhuni wake au siyo? Unaweza kudhani mama alimsamehe, si kweli bali alipata kiboko cha kumchapia kila mara. Na baba lazima akubali maana yupo guilty. Hapo ndipo huwa nawaheshimu akinamama
Sasa ukipunguza upendo si ndo matatizo yanazidi..?? Neno uvumilivu linatesa wengi sn.