miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Uchumi utajajiHivi na mwenzi akichepuka akuletee itakuwaje?
Uchumi utajajiHivi na mwenzi akichepuka akuletee itakuwaje?
Kweli kabisa.Khaaa Mungu atuepushe. Kuna wanaume ukimsikiliza tu mawazo yake, mnaachana siku hiyo hiyo
Haswaaa ila wanaume tufike mahala tukue.Ndo ndeshazaa ukiondoka kwani ndo watakufa? unampuuza nakumuwekea baadhi ya vikwazo ulee watoto akizeeka ndo ataisoma namba na huo utitiri nawekeza kwa majina ya watoto wangu.
Daaah! We noma wanakuwa na akili tena kuliko wa ndoa au kwa sababu muda unafanya ulitumia akili sana kumtoroka mme na matokeo yake kilichotungwa kikaambukizwa amagazi?Mbona hao hao wanawake wanabeba ujauzito wa nje ya ndoa japo mnalala kitanda kimoja;
halafu watoto wenyewe wanakuwa na akili sana;
This time we are guided by 50/50 so whenever you do you have to be answerable to your wife regarding love as long as it concerns.Kipindi cha mama zetu, ishu kma hyo ni simpo sana. They understood the situatio so easily, hasa na kale kamfumo dume na ile notion ya kwamba " wanaume ndo walivyo". Sasa tujaribu kuiwaza kwa kizazi hiki cha sasa.
Khaa Mungu awasaidie tu wanandoaNdio hapo sasa, hata nguo mpya hushoni umevaa mitumba hadi imekukariri, kumbe kuna mwingine anafanyiwa shoping ya maana, akajionea uduwanzi na watoto akapeleka private schools wote, akamwambia yaani baba jikaze tu kiume wasome.
Wanaume huwafundiaha wanawake roho mbaya alafu wanakuja kulaumu,oooh wanawake pasua kichwa, wakati ukitoka hapo still unakwenda kwa mwanamke tena, si uende kwa mwanaume mwenzio!
Tatizo ndoa zetu hizi za kikristu hazivunjiki hadi kifo. . . Ningevumilia ila upendo na uaminifu kwa mume wangu ungepungua
Ila kama ni uislam taraka fasta
Ha ha haMungu anisamehe in advance. Ndoa haitanifunga... mke akizingua siwwzi simamisha maisha, just move on
Wewe haujawa updated, Siku hizi zinavunjika tu labda uwe king'ang'anizi mwenyewe. Mpk papa ameruhusuTatizo ndoa zetu hizi za kikristu hazivunjiki hadi kifo. . . Ningevumilia ila upendo na uaminifu kwa mume wangu ungepungua
Ila kama ni uislam taraka fasta
MTU anayezaa hovyo au kuzalisha hovyo inamaanisha hata kondomu hatumii, hajijali yeye, huyo mwanamke wa nje wala wewe unayejiaminisha mko salama na mko katika hatari ya kupata maradhi yanayosababishwa na kuenezwa na ngono ikiwemo kansa ya mlango wa kizazi ambayo imeshajulikana inaenezwa kwa ngono... Mengine ataamua muhusika at their own risk. Ila hivyo ni vidonda vitakavyoacha makovu ya muda mrefu, huatasahau kwa sababu watoto Wapo na kwa sehemu ni ishara ya wewe kushushwa thamani kama mke maana there is nothing special analala na watu wengine bila kinga pia. Ni vema MTU akaamua kujiondoa mapema au aamue kuvumilia bila kutarajia huyo bwana atabadilika maana hiki ni chanzo cha maumivu na kila kikitokea kitu kibaya hata kidogo hutonesha kidonda. Ukisamehe na kusahau kiukweli utaweza kama ngumu ondoka mapema kabisa .Habari zenu wakuu,
Naombeni kuuliza, hasa wanawake wanaweza kuwa katika position nzuri sana. Inapotokea mume wako umemkuta na mtoto, ukakubali akakuoa na mkafanikiwa katika ndoa kupata nae mtoto mmoja. Lakini ikatokea huyo mume wako akazaa na binti mwingine tena nje ya ndoa.
1. Utaweza kuendelea na relationship hiyo?
2. Kama utaendelea, je unaweza kuwa na kiwango kile kile cha mapenzi kama mwanzo?
3. Je, unaweza ukatamani kuvunja ndoa ila kwa sababu wewe ni mwanamke ukashindwa? Au utaendelea kwa sababu ya neno "uvumilivu"
Nawasilisha.

Una akili sana ww mwanamke. Tungepata km 100 km ww. Hizi kesi zisingekuwepo.Kwa kizazi hiki me kama me sidhani kama nitaelewa japo sitamuacha hasa kama bado yupo vizuri mfukoni.. ila kama anafanya ujinga na pesa hamna namuacha live live hata amini
Ndo uwe na hela sasaUna akili sana ww mwanamke. Tungepata km 100 km ww. Hizi kesi zisingekuwepo.
Hakuna kitu ninachoogopa km kutoaminiwa na mwenzangu. Kupendwa ni tiba tosha, hata km hauna hela utajiona tajiri. Kwa dunia ya sasa ukipata mtu anayekupenda na kukuheshimu. Mshukuru Mungu.
MTOA UZI MISS CHAGA KESHAMALIZIKA KILA KITU SINA CHA KUSHAURI.
Ndiyo mama yangu. Sasa kama unafanya ujinga na pesa hauna si utakuwa na matope kichwani.Ndo uwe na hela sasa