Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,383
Maelezo yako ya mwanzo ni sahihi kabisa mkuu. Ila sehem ya pili zaidi ya hiyo kuna sababu yingine mfano kama mmoja au wote hawana uwezo 2a kushiriki tendo la ndoa (impotence), kama kuna mmoja alificha hali ya ugonjwa mkubwa mf HIV, Ukichaa nk, ikigundulika mmojawapo sio.mkatoliki na hajafuata taratibu za kuwa mkatoliki (akajificha) na nyinginezo
