Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

Strong and Fearless

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2017
Posts
890
Reaction score
2,203
Jana nimetoka out with my friend wa kike, we ordered drinks and food and tulikubaliana tutashare bills, Sasa suddenly my friend wa kike akasema kuna rafiki yangu wa kiume nilisoma Nae anakuja, nikasema okay , kufika alikua ni mwnaume.

Basi tumekaa pale akaorder heinken 7 na sisi we were having two bottles of wine na food Yule Kaka tulivomkaribisha si akashambulia chakula chote, kuku wote kamaliza na chips plate 2 zote kazila Ata kujishtukia hamna, sisi tulikula kidogo sana.

Muda wa kulipa bill mm nikatoa hela nusu, nikashangaa my friend wa kike anamlipia yule mwanaume rafiki yake zile heinken 7 , nikakaa kimya, the guy aka initiate tuhamie sehemu nyingine nikasema okay tukaenda wote, tumefika pale mimi nikatoa pesa ya uber yeye anatoa tu macho, aisee nilimshangaa sana yule mwnanaume, Basi nikakaa kidogo nikaondoka zangu.

Jamani wanaume Ata kama huna hela Basi changia hata kidogo pesa ili muepuke aibu kama hizi Au kama huna kabisa si ulale nyumbani sio lazima kutoka. Na Uyu my friend nimemshangaa kumlipia mwnaume Ivo, khaaaaa.
 
Jana nimetoka out with my friend wa kike, we ordered drinks and food and tulikubaliana tutashare bills, Sasa suddenly my friend wa kike akasema kuna rafiki yangu wa kiume nilisoma Nae anakuja, nikasema okay , kufika alikua ni mwnaume. Basi tumekaa pale akaorder heinken 7 na sisi we were having two bottles of wine na food Yule Kaka tulivomkaribisha si akashambulia chakula chote, kuku wote kamaliza na chips plate 2 zote kazila Ata kujishtukia hamna, sisi tulikula kidogo sana. Muda wa kulipa bill mm nikatoa hela nusu, nikashangaa my friend wa kike anamlipia yule mwanaume rafiki yake zile heinken 7 , nikakaa kimya, the guy aka initiate tuhamie sehemu nyingine nikasema okay tukaenda wote, tumefika pale mm nikatoa pesa ya uber yy anatoa tu macho, aisee nilimshangaa sana yule mwnanaume, Basi nikakaa kidogo nikaondoka zangu.
Jamani wanaume Ata kama huna hela Basi changia hata kidogo pesa ili muepuke aibu kama hizi Au kama huna kabisa si ulale nyumbani sio lazima kutoka. Na Uyu my friend nimemshangaa kumlipia mwnaume Ivo, khaaaaa.
Asa umemshangaa kivip? Kwanza nampongeza jamaa ana heshimu bajeti na ratiba zake,kwnn?,mtu nilikuwa sina ratiba ya matumizi hayo nimeitwa kwa kiherehere chenu kwahyo unataka nisaliti mipango yangu ili kukufrahisha ww?
 
Jana nimetoka out with my friend wa kike, we ordered drinks and food and tulikubaliana tutashare bills, Sasa suddenly my friend wa kike akasema kuna rafiki yangu wa kiume nilisoma Nae anakuja, nikasema okay , kufika alikua ni mwnaume.

Basi tumekaa pale akaorder heinken 7 na sisi we were having two bottles of wine na food Yule Kaka tulivomkaribisha si akashambulia chakula chote, kuku wote kamaliza na chips plate 2 zote kazila Ata kujishtukia hamna, sisi tulikula kidogo sana.

Muda wa kulipa bill mm nikatoa hela nusu, nikashangaa my friend wa kike anamlipia yule mwanaume rafiki yake zile heinken 7 , nikakaa kimya, the guy aka initiate tuhamie sehemu nyingine nikasema okay tukaenda wote, tumefika pale mimi nikatoa pesa ya uber yeye anatoa tu macho, aisee nilimshangaa sana yule mwnanaume, Basi nikakaa kidogo nikaondoka zangu.

Jamani wanaume Ata kama huna hela Basi changia hata kidogo pesa ili muepuke aibu kama hizi Au kama huna kabisa si ulale nyumbani sio lazima kutoka. Na Uyu my friend nimemshangaa kumlipia mwnaume Ivo, khaaaaa.
Ww ndo aina ya wale wanawake mpo kwa ajili ya pesa za mwanaume, huwezi kuingiza hata mia yako Ww mwnyw.
Endelea kumuombea mema huyo mwanaume wako mana siku akikosa pesa ndo atajua yupo na malaya
 
Jana nimetoka out with my friend wa kike, we ordered drinks and food and tulikubaliana tutashare bills, Sasa suddenly my friend wa kike akasema kuna rafiki yangu wa kiume nilisoma Nae anakuja, nikasema okay , kufika alikua ni mwnaume.

Basi tumekaa pale akaorder heinken 7 na sisi we were having two bottles of wine na food Yule Kaka tulivomkaribisha si akashambulia chakula chote, kuku wote kamaliza na chips plate 2 zote kazila Ata kujishtukia hamna, sisi tulikula kidogo sana.

Muda wa kulipa bill mm nikatoa hela nusu, nikashangaa my friend wa kike anamlipia yule mwanaume rafiki yake zile heinken 7 , nikakaa kimya, the guy aka initiate tuhamie sehemu nyingine nikasema okay tukaenda wote, tumefika pale mimi nikatoa pesa ya uber yeye anatoa tu macho, aisee nilimshangaa sana yule mwnanaume, Basi nikakaa kidogo nikaondoka zangu.

Jamani wanaume Ata kama huna hela Basi changia hata kidogo pesa ili muepuke aibu kama hizi Au kama huna kabisa si ulale nyumbani sio lazima kutoka. Na Uyu my friend nimemshangaa kumlipia mwnaume Ivo, khaaaaa.
Yeye kachangia nawazo ya kiwanja
 
Lakini huyo rafiki yako si alimlipia bila kuuliza? Kama alilipa ile bill yake ya Heineken maana yake anaelewa kwamba "jamaa alikuwa hana budget" ndio maana alimuita na kulipa bila kuuliza.

Ukinita maana yake umejipanga kwa ajili yako na mimi, huwezi kumuita mtu for outing utegemee yeye ndio alipe.

Sema nini, waafrika na akili zetu za kukamatiwa, hatuna tunalojua...
 
Jana nimetoka out with my friend wa kike, we ordered drinks and food and tulikubaliana tutashare bills, Sasa suddenly my friend wa kike akasema kuna rafiki yangu wa kiume nilisoma Nae anakuja, nikasema okay , kufika alikua ni mwnaume.

Basi tumekaa pale akaorder heinken 7 na sisi we were having two bottles of wine na food Yule Kaka tulivomkaribisha si akashambulia chakula chote, kuku wote kamaliza na chips plate 2 zote kazila Ata kujishtukia hamna, sisi tulikula kidogo sana.

Muda wa kulipa bill mm nikatoa hela nusu, nikashangaa my friend wa kike anamlipia yule mwanaume rafiki yake zile heinken 7 , nikakaa kimya, the guy aka initiate tuhamie sehemu nyingine nikasema okay tukaenda wote, tumefika pale mimi nikatoa pesa ya uber yeye anatoa tu macho, aisee nilimshangaa sana yule mwnanaume, Basi nikakaa kidogo nikaondoka zangu.

Jamani wanaume Ata kama huna hela Basi changia hata kidogo pesa ili muepuke aibu kama hizi Au kama huna kabisa si ulale nyumbani sio lazima kutoka. Na Uyu my friend nimemshangaa kumlipia mwnaume Ivo, khaaaaa.
Hakuna kitu kibaya kama umaksin wa nafsi
 
Jana nimetoka out with my friend wa kike, we ordered drinks and food and tulikubaliana tutashare bills, Sasa suddenly my friend wa kike akasema kuna rafiki yangu wa kiume nilisoma Nae anakuja, nikasema okay , kufika alikua ni mwnaume.

Basi tumekaa pale akaorder heinken 7 na sisi we were having two bottles of wine na food Yule Kaka tulivomkaribisha si akashambulia chakula chote, kuku wote kamaliza na chips plate 2 zote kazila Ata kujishtukia hamna, sisi tulikula kidogo sana.

Muda wa kulipa bill mm nikatoa hela nusu, nikashangaa my friend wa kike anamlipia yule mwanaume rafiki yake zile heinken 7 , nikakaa kimya, the guy aka initiate tuhamie sehemu nyingine nikasema okay tukaenda wote, tumefika pale mimi nikatoa pesa ya uber yeye anatoa tu macho, aisee nilimshangaa sana yule mwnanaume, Basi nikakaa kidogo nikaondoka zangu.

Jamani wanaume Ata kama huna hela Basi changia hata kidogo pesa ili muepuke aibu kama hizi Au kama huna kabisa si ulale nyumbani sio lazima kutoka. Na Uyu my friend nimemshangaa kumlipia mwnaume Ivo, khaaaaa.
Ibilisi kaanzisha uzi
 
Back
Top Bottom