Mwanaume kukata kiuno hii ikojee?


hey u men!!!!!!!
Nadhan hujakutana na kichwa cha kichaga wew tatizo bado mko na perspectives za analojia hebu badilikeni mambo yamechange saiv
 

heheheee nimekusoma barabara
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli

Ingia youtube kisha tafuta video za mombasa raha ujifunze na kutambua kama ni sawa au lah!
 
Wana MMU habari zenu.
Nijulishen ulazima au umuhimu wa mwanaume kukata kiuno kwenye game . Mim binafsi naona anazingua na kuniondolea mood in short nakereka kwa kweli
Kukata kiuno is a GOOD thing hata mimi nakata sana kiuno na mamito anapenda sana,I think the problem is on how you sway your waist,sio kukata tu kama unacheza ngoma za kienyeji hapo ni lazima utakuwa unamboa mwenzio,if you need technique on how to do it better pm me pls.
 

bas sawa nimekusoma vilivyo
 
muongo tena utachapiwa tu ujipe moyo kwa kuifanya siri ya ndanii.

wee mwanaume anapump tuu acha izo rudi jandoo broo uka update file lako ilo.

haaa hivi obsesd tuna nini mimi na wewe mbona nakusubiri hufiki:A S-confused1:
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana wewe ujui kukata kiuno ndio maana unaona ana kushinda pole sna.
 
kukata kiuno kwa mwaume ni dalili mbaya.unachotakiwa mwanume ni up then down
 
ni nini hasa au mimi ndio sijui mambo??? Eti

Swaiba, kabla ya kukujibu je wewe mwenyewe panga boi unazungusha kisawasawa? Osijek ikawa jamaa anacheza beki na wakati huo huo an atakuwa ashambulie!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…