Mwanaume kujijali peke yake

Mwanaume kujijali peke yake

Mwambie awe anakulipa mshahara kila mwezi kama hataki kufanya kwa hiari yake mwenyewe.
 
Habari?

Jaman hivi inakuwaje mwanaume kakuoa, ila hajawah fikiria kukununulia mahitaj yako kama mavazi na vingne muhmu kwa mwanamke, au ukimuomba hela anakasirika pengne msiongee hata week nzima.

Ila sasa yeye anajijali mwenyewe, kama mavazi atanunua yeye kama yeye, kwa kifupi anajiangalia peke yake.

Kiukwel nashndwa kumuelewa, hivi huyu anafaa kweli kuwa mume au?

Embu nisaidieni.
23 years of age...Naiita ni foolish age...Hamna ushauri wowote naweza kukupa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom