Mwanaume kujijali peke yake

Mwanaume kujijali peke yake

Hapo sijajua unamzungumzia boyfriend au mume..mwanzo kakuoa mwisho unauliza kama anafaa kuwa mume..ina maana kama ulikubali kuolewa nae hukujua kama ni mkono wa birika?.,....fafanua tukuelekeze bongenyo.
Nildhan atabadilika
 
kwani uliolewa uje kununuliwa kitu...toka huko bana....eboo
[emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34]
 
Tabia haijawahi kua na dawa.
Amua kuachika au kubaki kwenye ndoa.
 
samahan mama et kuna shughuli yoyote unajishuhulisha nayo? by tha way maisha kabla ya ndoa yalikuaje?
Nilikuwa na kaz yang ,baada ya kuolewa nikazaa ndo nalea sasa, hata ivo nikimaliza kulea ntafanya mishe
 
Alijijal pekee,mtoto ni mmoja 2 lakn kama watatu
Tayari ilikuwa red flag ya kutosha kuwa kuna tatizo, mwenzio ni mbinafsi, so ulitakiwa tu upime kwamba unaweza kuishi na mtu mbinafsi au laah. Inatokea kwa watu wengi tu, unaona red flags mapema but unapuuzia au ndo kujipa moyo kuwa atabadilika mbeleni, tena ndo ukishatangaziwa ndoa unasahau na kila kitu afu soon after ndoa ndo majuto kama hivi. Anyway ndo mumeo tayari, omba tu Mungu akupe neema ya kuishi naye, inauma ndiyo but ndo utafanyaje. Kama una kazi yako basi jihudumie tu mwenyewe upendavyo. And please mzae watoto utakaoona unaweza kuwatunza, maana kama ni mbinafsi hadi kwa mtoto, basi jua jukumu la kutunza watoto ni lako 100%.
 
Wanawake leo anakaa tuuu halafu anataka ununulie kila kitu,kafanye kaz huko ujinunulie na wewe,mapenzi hujui. Mchafu,matusi na maneno ya shombo halafu eti nikununulie kila kitu,utasubiri sanaaaaa
 
Habari?

Jaman hivi inakuwaje mwanaume kakuoa, ila hajawah fikiria kukununulia mahitaj yako kama mavazi na vingne muhmu kwa mwanamke, au ukimuomba hela anakasirika pengne msiongee hata week nzima.

Ila sasa yeye anajijali mwenyewe, kama mavazi atanunua yeye kama yeye, kwa kifupi anajiangalia peke yake.

Kiukwel nashndwa kumuelewa, hivi huyu anafaa kweli kuwa mume au?

Embu nisaidieni.
Kukuoa akuoe, Mahari akulipie, Unyumba na raha ya usiku akupe...na bado nguo akununulia...aroooo we umekuwa nini???

Em' jaribu wewe kuanza kumjali kwa hayo yoote...na umnunulie na nguo
 
Habari?

Jaman hivi inakuwaje mwanaume kakuoa, ila hajawah fikiria kukununulia mahitaj yako kama mavazi na vingne muhmu kwa mwanamke, au ukimuomba hela anakasirika pengne msiongee hata week nzima.

Ila sasa yeye anajijali mwenyewe, kama mavazi atanunua yeye kama yeye, kwa kifupi anajiangalia peke yake.

Kiukwel nashndwa kumuelewa, hivi huyu anafaa kweli kuwa mume au?

Embu nisaidieni.
Kama si mume wako, Ni sahihi kufanya hivo
 
Teh teh teh teeeeh!!! Hizi ndoa zenu za mwendokasi mie zaniacha hoi!
 
pole sana, la muhimu anza kwanza wewe kumuonesha unamjali kwa kumpikia chakula kitamu, kuongea nae kwa upendo na kumnunulia zawadi{sio lazima iwe kubwa sana}, jitahidi kumliwaza kila anapokuwa na stress, mtendee wema siku zote na umheshimu nadhani ni lazima atakutendea wema na wewe na kitu kingine ujifunze kuwa muwazi kwa mumeo sio tatizo dogo unalileta huku, kila la kheri Mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom