Mwanaume kujijali peke yake

Mwanaume kujijali peke yake

Huyo mume ana roho mbaya....
Pole, jinunulie tu mwenyewe kuwa responsible na furaha yako
Anatekeleza kauli mbiu ya baba jesicaa, kubana matumizi badala ya kununua nguo jozi mbili yake na mkewe ameamua kununua zake pekee. Tumuunge mguu mtukufu.
 
kwani huyo ni baba yako hadi umtegemee kwa kila kitu ?
weeee na hiyo avantar yako usituletee.

Hao wanaume wa hivyo wako wengi sana mwaya mdada so jipe raha mwenyewe ulimchagua huna sababu ya kuumiza akili yako. na wewe jinunuliage tu vitu vyako na upendeze aone wivu. akikuambia umepata wapi hela mwambie baba ako kakupa.

najisikia vibaya sana kwa watu kama hawa. wanajipenda wenyewe hadi wanasahau watoto.
 
weeee na hiyo avantar yako usituletee.

Hao wanaume wa hivyo wako wengi sana mwaya mdada so jipe raha mwenyewe ulimchagua huna sababu ya kuumiza akili yako. na wewe jinunuliage tu vitu vyako na upendeze aone wivu. akikuambia umepata wapi hela mwambie baba ako kakupa.

najisikia vibaya sana kwa watu kama hawa. wanajipenda wenyewe hadi wanasahau watoto.
siku nayokujua ulikua umependeza na unanukia na nguo za bei mbaya

ghafla baada ya kukutongoza unihamishie mzigo wa matatizo kwangu
hv unafikiri nilikua natafuta mpenzi au matatizo ?
Kama matatizo nina ndugu kibao wana matatizo
 
haki sawa sasa hivi akijinunulia na wewe jinunulie akikununulia na wewe mnunulie....hapo wala hutaumia roho sasa kama unataka kuegemea na huku unataka haki sawa...utaona matokeo so either ukubali kua haki sawa ni illusion akununulie au ukatae ujinunulie.
 
weeee na hiyo avantar yako usituletee.

Hao wanaume wa hivyo wako wengi sana mwaya mdada so jipe raha mwenyewe ulimchagua huna sababu ya kuumiza akili yako. na wewe jinunuliage tu vitu vyako na upendeze aone wivu. akikuambia umepata wapi hela mwambie baba ako kakupa.

najisikia vibaya sana kwa watu kama hawa. wanajipenda wenyewe hadi wanasahau watoto.
BaBa kakupa hahahahaha
 
siku nayokujua ulikua umependeza na unanukia na nguo za bei mbaya

ghafla baada ya kukutongoza unihamishie mzigo wa matatizo kwangu
hv unafikiri nilikua natafuta mpenzi au matatizo ?
Kama matatizo nina ndugu kibao wana matatizo
haaaa jamani jamani
nilivyokuwa nanukia vzr wazazi walikuwa wadau. sasa y usiendeleze udau huo?

jitieni tu upofu mtakuja lia siku si nyingi. Uzuri wanawake wa siku hizi hawataki kuumizwa tena.
 
haaaa jamani jamani
nilivyokuwa nanukia vzr wazazi walikuwa wadau. sasa y usiendeleze udau huo?

jitieni tu upofu mtakuja lia siku si nyingi. Uzuri wanawake wa siku hizi hawataki kuumizwa tena.
kujitia upofu kwenye kutumia hela tu au hadi ukiona unaibiwa ?
sasa kama nakutaka halafu hela sina inakuwaje ?
Wanaume wa siku hizi hatutaki kuumizwa mfukoni
 
lakini mkiwa kitandani anakujali na kukuridhisha mpe mda tu atabadirika tu
 
Hata sielewi inakuwaje,
Sometimes upendo ndiyo hutufanya sisi wanaume tununue zawadi nyingi, Daah kama ni zawadi Nimenunua! Sema ndiyo hivyo sometimes ukipenda sana ni mateso.
 
kujitia upofu kwenye kutumia hela tu au hadi ukiona unaibiwa ?
sasa kama nakutaka halafu hela sina inakuwaje ?
Wanaume wa siku hizi hatutaki kuumizwa mfukoni
Yaan hapo kwenye upofu kwenye hela mtajikuta mnaibiwa.
 
ila wewe ulishamjali kwa boxer, mashati, suruali nk halafi yeye ni mbinafsi au? tuanzie hapo!
 
huyo bishooo pili anajipenda mwenywe sana nadhani ndo ulichompendea hlf saiv imekua too much,sijawahi kusikia selfish man akakosa mwanamke tena mzuri na conlude wewe ni mzuri sasa back to the point ...mwambie ukweli bila kuzunguka napenda unifanyie hiki na hiki na hiki as your woman...pili sitarajii kusikia ni shoga zako ndo wamekusukuma kufanya hivyo kisa wao wanapewa na wenza wao au ni ubinafsi wako ww wa kutumia mshahara wako kivyako ndo unataka kuhamishia kwa mwenzako kisa na yeye kajifunza kupitia kwako
 
Sasa mpate na watoto nahisi itakuwa chungu zaidi. Mlipata nafasi ya kusomana kabla ya ndoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom