afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,779
hapo unachanganya habari...we ni mke au mke wa uongo...anafaaje kuwa mume wakati tayari ni mume..rekebisha hapo..na kinginehamkujuana tabia kama ni mume wako tayari au kama sio mume si ndio ujijue unatakamume waaina gani au mapungufu gani unaweza yavumilia.......pia jamaa naye nomahana ime duh weaknes nayo..hajaonesha manjonjonjo muhimu labda naogopa kutendwa