Mwanaume kujijali peke yake

Mwanaume kujijali peke yake

bongenyo

Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
50
Reaction score
31
Habari?

Jaman hivi inakuwaje mwanaume kakuoa, ila hajawah fikiria kukununulia mahitaj yako kama mavazi na vingne muhmu kwa mwanamke, au ukimuomba hela anakasirika pengne msiongee hata week nzima.

Ila sasa yeye anajijali mwenyewe, kama mavazi atanunua yeye kama yeye, kwa kifupi anajiangalia peke yake.

Kiukwel nashndwa kumuelewa, hivi huyu anafaa kweli kuwa mume au?

Embu nisaidieni.
 
Ukisikia selfishness ndo hiyo, your own wife hata humjali

Talk it out with him tell him how you feel about it. Tell him he doesn't need to do that all the time, hata every once in a while sio mbaya
If he values you he might change, ila kama he doesn't basi huyo most likely doesn't care about you
Ila siku mmetulia you can just ask him lightly why hapendi kufanya those things, you might get a more helpful answer
 
jaribu kuongea nae umweleze au utumie rafiki yake wa karibu, kama huwezi kumweleza direct, mkiwa mnapiga stori msimulie kisa cha kutunga kuhusu mtu ambaye anajijali mwenyewe alafu umuulize yeye binafsi anamchukuliaje mtu mbinafsi au jaribu ukiwa unanunua vitu vyako uwe unamnunulia na yeye pia ataona aibu na atabadilika tu. huu mchezo hauhitaji hasira we mvumilie tuu
 
Habari?

Jaman iv inakuwaje mwanaume kakuoa ,ila ajawah fikiria kukununulia mahitaj yako kama mavazi na vingne muhmu kwa mwanamke ,au ukimuomba hela anakasirika pengne msiongee hata week nzima.

Ila sasa yy anajijali mwenyewe ,kama mavazi atanunua yeye kama yy ,kwa kifupi ajajiangalia peke yake.


kiukwel nashndwa kumuelewa ,iv uyu anafaa kwel kuwa mume au ?

Embu nisaidien .
Sasa ushasema ni mume wako alafu unauliza tena kama anafaa kuwa mume??
 
Habari?

Jaman iv inakuwaje mwanaume kakuoa ,ila ajawah fikiria kukununulia mahitaj yako kama mavazi na vingne muhmu kwa mwanamke ,au ukimuomba hela anakasirika pengne msiongee hata week nzima.

Ila sasa yy anajijali mwenyewe ,kama mavazi atanunua yeye kama yy ,kwa kifupi ajajiangalia peke yake.


kiukwel nashndwa kumuelewa ,iv uyu anafaa kweli kuwa mume au ?

Embu nisaidien .
Hapo sijajua unamzungumzia boyfriend au mume..mwanzo kakuoa mwisho unauliza kama anafaa kuwa mume..ina maana kama ulikubali kuolewa nae hukujua kama ni mkono wa birika?.,....fafanua tukuelekeze bongenyo.
 
Kwa kifupi ni kwamba hakupendi and probably kuna mtu pembeni anahudumiwa!
 
Mume unaye wewe. Unashindwa nini kukaa chini na kuongea nae?
Atajuaje unachofikiria?
He isn't a mind reader.
 
jaribu kuongea nae umweleze au utumie rafiki yake wa karibu, kama huwezi kumweleza direct, mkiwa mnapiga stori msimulie kisa cha kutunga kuhusu mtu ambaye anajijali mwenyewe alafu umuulize yeye binafsi anamchukuliaje mtu mbinafsi au jaribu ukiwa unanunua vitu vyako uwe unamnunulia na yeye pia ataona aibu na atabadilika tu. huu mchezo hauhitaji hasira we mvumilie tuu
Huyo kuna kitu hujampa au hajaridhika na mapigo ya moyo sasa rekebisha kama mapigo bado hayajamridhisha ndio anakuwa mchungu wa kukununulia ilavpia mchunguze aweza kuwa kuna mahala ananunua kwa mwenzako anapopata mapigo ya moyo
 
Huyo ndio mzuri.

Kwa nini na wewe uwe golikipa bana?

Jifunze hata kukaanga vitumbua aiseeee
 
Habari?

Jaman iv inakuwaje mwanaume kakuoa ,ila ajawah fikiria kukununulia mahitaj yako kama mavazi na vingne muhmu kwa mwanamke ,au ukimuomba hela anakasirika pengne msiongee hata week nzima.

Ila sasa yy anajijali mwenyewe ,kama mavazi atanunua yeye kama yy ,kwa kifupi ajajiangalia peke yake.


kiukwel nashndwa kumuelewa ,iv uyu anafaa kwel kuwa mume au ?

Embu nisaidien .
Hivi wewe kwenye hatua ya uchumba ulifanya nini??? huko ndiko ulitakiwa kumchunguza mtu na kufanya maamuzi kama anafaa kuwa mume....Sasa unakuja kuuliza watu kama anafaa kuwa mume kwani hawa wengine wamewahi kumdate....msikurupuke kwenye ndoa hata siku moja.
 
kwani uliolewa uje kununuliwa kitu...toka huko bana....eboo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom