Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
- Thread starter
- #81
Nani amekuambia hatafuti pesa? Tatizo mnakimbilia suluhisho rahisi sana. Mi ndo maana nikatoa makundi matatu toka mwanzoni. Ninachomaanisha mwanaume anaejua sanaa ya mapenzi anaweza kuhonga ( kutunza) kwa unafuu zaidi kuliko mwanaume ambae hajui sanaa ya mapenzi, ataishia kuliwa hela zake tu. Kujua sanaa ya mapenzi ni muhimu kwa kila mwanaume, haijalishi una hela au haunaPamoja na yote hayo ndugu Kwa wasichana hawa wa 21st century jitahidi utafute pesa.Hata usipokuwa tajiri angalau uwe na chochote kile my friend pesa ni sabuni ya roho
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app