Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,422
- 2,313
Umeniwahi mkuu, kuna mengi hayajui huyu jamaa.Kuhonga ni nini em tuanzie hapo kwanza!!
Mwanaume unaweza kua na mpenzi na usihudumie chochote kweli!!? Mleta mada unashadadia kabisa eti mimi natafuta pesa ila kuhonga simoo!!!
Aisee dunia inageuzwa juu chini yani wanaume ndio inabidi wajiuze ndo wahongwe na wanawake. Kijana toa izo fikra potofu kama huna pesa ya kumpa mpenzi wako kaa pembeni usaidiwe, na mbusus utapewa kwa ratiba mpaka zamu zetu zipite na ww ufatafa.