hivi wanaume kufuga kucha za mikono kunamaanisha nini...?
hasa kucha ya kidole cha mwisho au kidole gumba .....
Asante kwa kutujibiaKuamsha hisia kwa mwanamke.
Ni mwanume wa dar kwani? basi sawaWatakuja kujibu wapo kula chipsi mayai.
zinaamshaje mwenzio mimi mgeni tafadhaliKuamsha hisia kwa mwanamke.
zinaamshaje mwenzio mimi mgeni tafadhali