haijakaa sawa hata kidogo. Acha wanawake wafuge lakini kwa mwanaume naona si sawa.
Halafu naomba kusaidiwa juu ya maana ya hili neno BOFLO maana comment za mwanzoni watu walikuwa wanasema atakuwa boflo tu mara huo ni uboflo sasa nikabaki najiuliza nini maana yake??
hii nimeiona kwa wanaume wengi, hivi ina maana gani kufuga kucha moja.Me nimefuga kidole cha mwisho left hand
hii nimeiona kwa wanaume wengi, hivi ina maana gani kufuga kucha moja.
Hahahaha! Huu mtego huu..... Ans. Nimewahi kuwaona kwenye sinema mkuu.
wengi wanaofuga kucha wako kazini ila sio za ushoga ni za heshima sana, waogope sana watu hao