Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Naomba ushahidi wa kuthibitisha hilo, Mpendwa.Heee haijawahi kua na baba kivipi teh, familia nyingi baba wametangulia mbele za haki
Naomba ushahidi wa kuthibitisha hilo, Mpendwa.Heee haijawahi kua na baba kivipi teh, familia nyingi baba wametangulia mbele za haki
Hahaha dah! Badass comeback bro. Tunatangulia kuwaandalia makazi.Sio kweli..Tunaziwahi neema za mbinguni..Nyie enedeleeni kubaki tu..Mwisho wa siku mje kuishi kwenye nyumba za udongo mbinguni
Utaniwahia mwayego nije tukae woteSio kweli..Tunaziwahi neema za mbinguni..Nyie enedeleeni kubaki tu..Mwisho wa siku mje kuishi kwenye nyumba za udongo mbinguni
Naomba ushahidi wa kuthibitisha hilo, Mpendwa.
Teh teh..Ndo hivyo bro..Huku si wanasema si ni kichwa cha familia..Na mbinguni tutakuwa vichwa hivyohivyo lol..Hahaha dah! Badass comeback bro. Tunatangulia kuwaandalia makazi.
Usihofu mpendwa tutakuwa wote..Mi nilishafanya booking mapema..Hata nisipowahi kwenda makazi yangu yananisubiriUtaniwahia mwayego nije tukae wote
Pole mpendwa. I see where you're coming from, ila ngoja nikupe perspective nyingine. Kipindi cha kampeni, tuliona mafuriko kwenye picha na tv, right? Ila zilivyokuja numbers mwisho wa mchezo, habari ikawa tofauti. Do you get my point?Wa kwanza ni mie, tunaishi na mama tu baba alifariki years ago, marafiki zangu wengi wanaishi na mama zao pia baba wamefariki mpendwa hii kitu ina ukweli wala sio uongo
Sio kweli..Tunaziwahi neema za mbinguni..Nyie enedeleeni kubaki tu..Mwisho wa siku mje kuishi kwenye nyumba za udongo mbinguni
Pole mpendwa. I see where you're coming from, ila ngoja nikupe perspective nyingine. Kipindi cha kampeni, tuliona mafuriko kwenye picha na tv, right? Ila zilivyokuja numbers mwisho wa mchezo, habari ikawa tofauti. Do you get my point?
Wanaume wanafanya kazi nzito jamani...
Wengine wanateseka wanalea familia huko mke hamjali mume wake ikiwa kumpikia vizuri.. kumpeti peti... sasa kwa kazi wanazofanya wakikosa faraja mwili unadhoofika sana huku sisi tunanenepeana tuu..mwanaume anaumwa mwanamke hajali wala nini ndio kwanza anadai hela..mwanaume anakosa pa kupumzikia kila siku mawazo majukumu yote ya mke na watoto juu yake ya wazazi wake juu yake huku mwanamke unamdharau mume wako.. hamna siku hata moja inapita hujamkwaza. Anawaza hadi damu za pua bado hatujali...
KUNA BAADHI YA WANAWAKE NI WAUWAJI.. nimekumbuka kisa kimoja acha kabisa.
MWANAMKE UNAYETAKA MUME WAKO AISHI MUDA MREFU MLEE WATOTO WENU PAMOJA...
..shirikiana nae kila jambo ..mfariji pale anapokata tamaa mpikie vizuri ale ashibe mpe haki yake...usimruhusu mume wako awaze mawazo tofauti ya kumuumiza..SASA WEW MTESE AFE NJAA NA MAWAZO HALAFU ULIE LIE
Ila uzuri wanaenda mbinguni direct maana kama
kuna amateso wameshamaliza hapa hapa duniani.
Hahaha. Haya tupotezee tu. Kaboom kashajibu anyway. Tunatangulia kuwaandalia makazi mema.Mpendwa usinikumbushe uchaguzi, picha ya lubuva inakuja mbele yangu wakati nshaanza kumsahau....mmh sijakupata fresh
Ungekuwa karibu yangu leo ninge kununulia Makange
maana umeongea kwa hekima na taadhima, umegusa
hadi maini ya ndani kabisaaa....
Ni takwimu gani zinaonyesha wanaume hufariki mapema kuliko wanawake?
Ungekuwa karibu yangu leo ninge kununulia Makange
maana umeongea kwa hekima na taadhima, umegusa
hadi maini ya ndani kabisaaa....
Do you have reliable numbers to support this, please?Tunaangalia DEATH RATES vs BIRTH RATES ..... kuzaliwa MALES ndio wengi... but KUFA pia ndio wengi
Wanaume wanafanya kazi nzito jamani...
Wengine wanateseka wanalea familia huko mke hamjali mume wake ikiwa kumpikia vizuri.. kumpeti peti... sasa kwa kazi wanazofanya wakikosa faraja mwili unadhoofika sana huku sisi tunanenepeana tuu..mwanaume anaumwa mwanamke hajali wala nini ndio kwanza anadai hela..mwanaume anakosa pa kupumzikia kila siku mawazo majukumu yote ya mke na watoto juu yake ya wazazi wake juu yake huku mwanamke unamdharau mume wako.. hamna siku hata moja inapita hujamkwaza. Anawaza hadi damu za pua bado hatujali...
KUNA BAADHI YA WANAWAKE NI WAUWAJI.. nimekumbuka kisa kimoja acha kabisa.
MWANAMKE UNAYETAKA MUME WAKO AISHI MUDA MREFU MLEE WATOTO WENU PAMOJA...
..shirikiana nae kila jambo ..mfariji pale anapokata tamaa mpikie vizuri ale ashibe mpe haki yake...usimruhusu mume wako awaze mawazo tofauti ya kumuumiza..SASA WEW MTESE AFE NJAA NA MAWAZO HALAFU ULIE LIE