raass
Senior Member
- Feb 5, 2014
- 112
- 39
Do you have reliable numbers to support this, please?
Tafuta takwimu za Vizazi na Vifo hapa Tanzania
Do you have reliable numbers to support this, please?
Sio hivyo.......wa kwanza kuja......wa kwanza kuondoka.......FIFO.........
Nakubaliana na wewe kuna wanawake pasua kichwa nao huwaongezea wanaume stress badala ya kuwapa faraja kwa majukumu mazito pia asilimia kubwa ya wanawake huwapa wenzi wao malibwata ambayo hugeuka sumu.
Pia kazi ngumu zenye risk kwenye maisha. Wanawake jitaidini kuwakea waume zenu
SMDH! Okay.Tafuta takwimu za Vizazi na Vifo hapa Tanzania
Kuna dada mmoja rafik yangu mume wake anafanya kazi nzito acha kabisa..basi mume akurudi nyumbani anakuta mwanamke hajapika anamsubiri akanunue chips wale walale..nimemshauri mara kibao lakini wapi..hiyo siku nikakuta yeye anakula chips mume yupo jikon anajipikia hadi nilitamani kulia..kwa nini mtu umtese mume wako hivyo duuuh
Ze thread is closed
Huyo ana mumaliza mumewe kitaratibu aisee chips yai na kazi ngumu wapi na wapi,. Kuna mmama kafiwa na mumewe kisa alikua hamjali kwa msosi matokeo yake akapatwa matatizo. Wanaume inabidi wawe makini kwenye kutafta ukipata asiye mwelewa ndo basi tena maisha magumu,stress hafu kukosa mfariji
Hivi alilia kweli??? Maana ni aibu jamani lol..
Sometimes tuna roho ngumu dear acha kabisa
Kiumri pia wanaume hu oa wanawake wenye umri mdogo kwa mfano Mugabe is 44 yearsolder than his wife Grace. Biologically mugabe atatangulia mbele ya haki kabla ya grace
hawa wa siku hizi wafe tu hamna nna nyingine kazi hawafanyi sio chumbani sio za uchumi wapenda chips tu
hapana creta..ukizaliwa mwanaume mawazo mawazo kuhangaika.Shauri wana zambi nyingi sana.........wanawake wana dhambi chache ambazo nazo zinasababishwa na wanaume.......
Zambi......
Dhambi........
Hivi ni kwann wanaume wengi hutangulia mbele za haki kuliko wanawake?
Shauri wana zambi nyingi sana.........wanawake wana dhambi chache ambazo nazo zinasababishwa na wanaume.......
Zambi......
Dhambi........