Mwanaume kimbia

Mwanaume kimbia

Huo ushauri wako mtoa mada wa kifa.la sana. Kuna shemeji yangu mmoja alikuwa anamkataza mkewe kufanya kazi yoyote, ila sasa hali ikiwa mbaya nyumbani anatafuta safari anaacha mkewe anahangaika na watoto. Baadae walikorofishana na mkewe akaenda kukaa kwenye nyumba yao nyingine, watoto wakawa wanapenda kwenda kule maana akiwa na hela kunakuwa na mapochopocho kama yote ila siku akiishiwa hela anasafiri kimya kimya anawaacha watoto wanashangaana
Mwanaume mzima unaikiimbiaje familia yako na kuiaacha bila ramani yoyote ile kisa Maisha magumu!? Kuna watu humu wako na familia tu,lakini ile Bond hakuna kabisa, na hii ni hatari sana, maana mmoja akipata hata mchongo wa kutoa msukule kisa apate pesa,anakutoa faster mbona!!
 
Ndugu acha kabisaa watoto ni kitu kingine aiseee! Ni dhamana aliotupa Mungu haijalishi nitapita wapi niwaaache.
Huyo baharia wazamani,hajui kuwa siku hizi hata ukikimbia lazima uwe na Ramani ya unakotoka na unakokwenda! Ndiyo maana kila vita ina Ramani!!
 
Tatizo hao wanawake wenye aina hii ya mapenzi unaambiwa ndio walikua front line wakati wa yale mapambano ya kumng'oa nduli Idd Amin Dada na bahati mbaya wote waliangamia hakuna aliefanikiwa kurudi.
Ha ha ha....
Wapo chief, Ni Wewe TU unatumia mbinu gani kuwapata.

Na bahati mbaya wa Hivi wengi huwa hamuwapendi, mmeng'ang'ana na hivyo Vigezo vyenu wasivyokua navyo
 
Ha ha ha....
Wapo chief, Ni Wewe TU unatumia mbinu gani kuwapata.

Na bahati mbaya wa Hivi wengi huwa hamuwapendi, mmeng'ang'ana na hivyo Vigezo vyenu wasivyokua navyo
afu mwisho wa siku wanarudi jukwaani hapa kulialia ili waonewe hurumaimagine mtu anakushauri ukimbie familia yako
 
Mwanaume unaanzaje kukimbia changamoto?

Kukimbia na kurudi, utaishi hivyo kwa muda gani?

Ukikimbia usipopata ndiyo jumla unawatelekeza?

Nini maana ya kuwa kichwa cha familia?

Aliyesema mwanaume lazima awe nacho muda wote ni nani?


Ulioa ili muishi katika raha tu na ikifika wakati wa karaha mkimbiane?


Unaishije na mtu hawezi kuelewa kuna kupanda na kushuka katika maisha?


Unaishije na mtu anaye kuonyesha kujali wakati ukiwa nazo tu, na usipokuwa nazo hakujali? Huoni unatumika?

Unakubalije kuwa mtumwa wa mtu mwingine?


Humu kuna vijana wadogo wanaposoma thread kama hizi ile spirit ya kuwa mwanaume mwenye kuyakabili majukumu inapungua wakiamini mambo yakiwa magumu wakimbie na siyo kupambana kutafuta suluhisho.

Na SIVYO mwanaume anavyopaswa kuwa.

Uliamua kuyavulia nguo, YAOGE mzee.
 
Kukimbia pia ni moja kati ya mbinu za kivita pindi unapoona umezidiwa,unaweza ukajiona jasiri usikimbie ukabaki ukauwawa!

Nasema hivi mwanaume pindi unapoona uchumi wako umeyumba na ikifika kipindi huwezi tena kuendesha familia yaani inafika kipindi yaani huna mishe kabisa hadi unaamua kushinda nyumbani,maana hata ukitoka ni hola utaanza kuulizwa mbona umerudi mikono mitupu!

Ikifika hatua hii ni bora kukimbia na kwenda kusikojulikana kwa usalama wa afya yako maana sonona utayoipata kwa mkeo sio poa maana itafika kipindi ataanza kutoa papuchi kwa wajuba bila hofu yeyote na atakufanyia dharau kila aina!

Hii inaweza kupelekea kupata kesi ya mauaji uende jela maisha ama ujiue wewe mwenyewe ama uteketeze familia nzima!
Kwahiyo ni bora kukimbia mapema maana yajayo yanasikitisha!

All in all mwanaume tupambane sana kuhakikisha tunakuwa na uchumi imara kutunza familia zetu kinyume na hapo hakuna upendo wala heshima kwa Mwanamke
Kama una watoto je
 
Mwanaume huwa hakimbii

Kupanda na kushuka, kukosa na kupata ni kawaida kwenye maisha
 
Mwanaume unaanzaje kukimbia changamoto?

Kukimbia na kurudi, utaishi hivyo kwa muda gani?

Ukikimbia usipopata ndiyo jumla unawatelekeza?

Nini maana ya kuwa kichwa cha familia?

Aliyesema mwanaume lazima awe nacho muda wote ni nani?


Ulioa ili muishi katika raha tu na ikifika wakati wa karaha mkimbiane?


Unaishije na mtu hawezi kuelewa kuna kupanda na kushuka katika maisha?


Unaishije na mtu anaye kuonyesha kujali wakati ukiwa nazo tu, na usipokuwa nazo hakujali? Huoni unatumika?

Unakubalije kuwa mtumwa wa mtu mwingine?


Humu kuna vijana wadogo wanaposoma thread kama hizi ile spirit ya kuwa mwanaume mwenye kuyakabili majukumu inapungua wakiamini mambo yakiwa magumu wakimbie na siyo kupambana kutafuta suluhisho.

Na SIVYO mwanaume anavyopaswa kuwa.

Uliamua kuyavulia nguo, YAOGE mzee.

Mwanaume ili uwe kamili ni lazima ujue kusoma alama za hatari,ukiona maji yanazidi unga unatia chumvi unageuka kuwa uji!,wengi waliochagia hii mada wahajawahi kukutana na visanga vya wanawake ndio maana wanachukulia poa,hadi kwenye biblia imeandikwa ni bora kuishi kwenye pembe ya dari kuliko kuishi na Mwanamke msumbufu
 
Huo ushauri wako mtoa mada wa kifa.la sana. Kuna shemeji yangu mmoja alikuwa anamkataza mkewe kufanya kazi yoyote, ila sasa hali ikiwa mbaya nyumbani anatafuta safari anaacha mkewe anahangaika na watoto. Baadae walikorofishana na mkewe akaenda kukaa kwenye nyumba yao nyingine, watoto wakawa wanapenda kwenda kule maana akiwa na hela kunakuwa na mapochopocho kama yote ila siku akiishiwa hela anasafiri kimya kimya anawaacha watoto wanashangaana
 
Kama unabishana na mtoa mada Tafuta wimbo wa langa x mchizi mox x babuu wa kitaa unaitwa kimbia halafu usikilize vizuri utajifunza jambo
 
Sidhani kama kukimbia ni suluhisho, ni kumuomba Mungu na kupambana tu ndo suluhisho.
 
Mwanaume mzima unaikiimbiaje familia yako na kuiaacha bila ramani yoyote ile kisa Maisha magumu!? Kuna watu humu wako na familia tu,lakini ile Bond hakuna kabisa, na hii ni hatari sana, maana mmoja akipata hata mchongo wa kutoa msukule kisa apate pesa,anakutoa faster mbona!!
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom