Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,101
- Thread starter
- #61
Nadhani utakuwa hujamuelewa mleta uzi
Ni kweli kabisa inabidi tumuandalie darasa maalumu
ubongo wake ni low qualityNadhani utakuwa hujamuelewa mleta uzi
ubongo wake ni low qualityKwa hiyo unajiokoa wewe unaacha watoto wanakufa. Wasted spermHapo kinachotakiwa kukuokoa ni mbio, hakuna namna nyingine.



only Legends understand...!

Kwa hiyo unajiokoa wewe unaacha watoto wanakufa. Wasted sperm![]()

Huna lolote...umeona watu wanakushangaa unajitia hujaelewekaVilaza mbona mmeshindwa kuelewa kabisa mada![]()



Kama tatizo ni ukorofi wa Mwanamke wako,piga chini yeye,kamata Mwanamke mwingine ambae Yuko tayari kucheza na wwe hilo rumba lako la life,lakini siyo ukimbie familia yako bila mipango kisa Maisha magumu, utafeli zaidi!!Vilaza mbona mmeshindwa kuelewa kabisa mada![]()
Hakika...All in all mwanaume tupambane sana kuhakikisha tunakuwa na uchumi imara kutunza familia zetu kinyume na hapo hakuna upendo wala heshima kwa Mwanamke
Bi Mkubwa Khantwe Nadhani hujamwelewa mleta mada. Sio Siri Kuna kipindi life linaweza kugeuka juu ikawa chini na Hali ikawa hivyo yaani haioneshi dalili za kubinuka.Kwa hiyo unajiokoa wewe unaacha watoto wanakufa. Wasted sperm![]()
Hayo umefikiria wewe ila yeye mtoa mada hakuna mahali amesema hivyo... amesema kimbia nenda kusikojulikana maana yake ni kwamba unakuwa kama umepotea kwenye uso wa dunia familia unaiacha gizani haijui hata inakupataje. Kwenda kutafuta mbali na nyumbani haiitwi kukimbia, ni kama tu aliyeenda kazini akitokea nyumbani. In fact, hata sio suala la kuanzishia uzi maana linafanyika deile tangu enzi za mababu zetu. Zamani babu zetu walizamia kwenye mashamba ya mikonge huko siku ya siku kwa waliofanikiwa walirudi na kitu kinachoeleweka nyumbaniBi Mkubwa Khantwe Nadhani hujamwelewa mleta mada. Sio Siri Kuna kipindi life linaweza kugeuka juu ikawa chini na Hali ikawa hivyo yaani haioneshi dalili za kubinuka.
Mtu unajituma unafanya hiki hakitoki. Kuna watu tumeomba mpaka kazi ya kukatia majani ya bustani lakini wapi. Inapita wiki 3 hata 100 haijaingia mfukoni wakati watoto wanahitaji kula. Mwezi unaanza hujui kipato kitatoka wapi. Kila kitu kimebuma. Katika mazingira ya namna Hiyo, kuliko kuendelea kukaa kwa masikitiko ni heri kuzamia Ubaruku au Kamsamba kwenye vibarua vya mpunga nikimrushia wife hata msimbazi atanunua dagaa na sabuni.
Mleta mada hamaanishi kukimbia moja kwa moja, anamaanisha kwenda sehemu nyingine kiutafutaji, mwanaume akiwa peke yake anaweza kulala kwenye kalvat au akajifunga mtini kuokoa gharama.
Maisha yaacheni tu.
Kuna mazingira yanaweza kusababisha Mtu akaamua kukimbia bila kuacha alama za anakoelekea. Akaamua kujipanga upya. Mwanaume halisi atarudi kuitafuta family yake. Mimi naamini hivyo.Hayo umefikiria wewe ila yeye mtoa mada hakuna mahali amesema hivyo... amesema kimbia nenda kusikojulikana maana yake ni kwamba unakuwa kama umepotea kwenye uso wa dunia familia unaiacha gizani haijui hata inakupataje. Kwenda kutafuta mbali na nyumbani haiitwi kukumbia, ni kama tu aliyeenda kazini akitokea nyumbani. In fact, hata sio suala la kuanzishia uzi maana linafanyika deile tangu enzi za mababu zetu. Zamani babu zetu walizamia kwenye mashamba ya mikonge huko siku ya siku kwa waliofanikiwa walirudi na kitu kinachoeleweka nyumbani
Hii imenisikitisha.unaachaje watoto uliowazaa mwenyewe mwanaume.cha kukufariji ni nini kwenye hii dunia zaid ya wazaz wako na wanao???Aah wap wanangu ndio masela wangu wa kufa nao acha niwalee wapate maisha bora ili mwisho wa siku wakaimbe "NANI KAMA MAMA" 😁😁Huo ushauri wako mtoa mada wa kifa.la sana. Kuna shemeji yangu mmoja alikuwa anamkataza mkewe kufanya kazi yoyote, ila sasa hali ikiwa mbaya nyumbani anatafuta safari anaacha mkewe anahangaika na watoto. Baadae walikorofishana na mkewe akaenda kukaa kwenye nyumba yao nyingine, watoto wakawa wanapenda kwenda kule maana akiwa na hela kunakuwa na mapochopocho kama yoteila siku akiishiwa hela anasafiri kimya kimya anawaacha watoto wanashangaana
Ukirudi ukakuta nao wameenda kusikojulikana?Kuna mazingira yanaweza kusababisha Mtu akaamua kukimbia bila kuacha alama za anakoelekea. Akaamua kujipanga upya. Mwanaume halisi atarudi kuitafuta family yake. Mimi naamini hivyo.
Hii imenisikitisha.unaachaje watoto uliowazaa mwenyewe mwanaume.cha kukufariji ni nini kwenye hii dunia zaid ya wazaz wako na wanao???Aah wap wanangu ndio masela wangu wa kufika na kufa nao acha niwalee wapate maisha bora ili mwisho wa siku wakaimbe "NANI KAMA MAMA"![]()


hilo la mwisho halikwepeki mkuuHapo la muhimu ni MOJA TU, mengine mbwembwe.Tafuta pesa, oa, zaa. Huo ndo mtiririko sahihi.
Na sis wenyewe hata halituumi wala.Yan watoto ni mbegu zetu ndio maana halituumiz vichwa.wakiwa wanajifanya wajuaji si tunawaona ni utelezi tuuu tunafanya yetu siku zinaendahilo la mwisho halikwepeki mkuu
Sawa mkuuNa sis wenyewe hata halituumi wala.Yan watoto ni mbegu zetu ndio maana halituumiz vichwa.wakiwa wanajifanya wajuaji si tunawaona ni utelezi tuuu tunafanya yetu siku zinaenda
Tiririka kidogo mkuu ha ha haNaungana na wewe mkuu,yameshanikuta sitaki hata kukumbuka