Tulizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 848
- 663
Kwa maani ipi Tulizo?
Mwanaume kamili ni yule ambaye anaweza ku-overcome mapungufu yanayoletwa na challenge za maisha ikiwa kama sacrifice kwa mpenzi wake..
Mfano mdogo wewe unapenda niende jikoni na kukusaidia kukuna nazi....baba yangu mzazi akijua basi atakuja juu na kusema kuwa umeniloga nami zumbukuku ..Lakini ukweli utabaki nimeshinda challenge hii ya kijinga kwa ajili yako.. nimechagua kukufuata wewe badala ya ushauri baba mzazi..ni mfano mdogo ambao unaweza ku-argue lakini kuna mingi...ambayo inalenga kusema kuwa yote aliyosema LizzY yanawezekana ila wanaume wengi hawana guts za kujaribu!
In short.. kila kitu kinawezekana na mwanaume kamili ni yule ambaye anaweza kufanya kile ambacho wengine wanadhani ni impossible!