Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,232
Kupaka lotion badala ya mafuta ya mgando
Hii nilimuona konda wa daladal had nkachokakuvaa visendo vya manyoya
pole mkuukuna pumbafu mmoja lilinitumia txt lika inlude neno 'MY' aisee ile siku niliona dunia mbona inanionea kiasi hiki! nilikasirika isivyo kawaida.
Utafiti umeonyesha wanaoshabikia mpira hasa timu Kama yanga, arsenal,man u wanaweza wakawa na mapungufu ya nguvu za kiume.Huwez kuwa timilifu
khaa huyo sasa katia fora. 😂😂😂kuvaa visendo vya manyoya
Wataje tu.....Kwa humu jf ziwaendee wale wanaume wanaojifanya ujuaji mwingi na dharau zisizo na kichwa wala miguu tena kwa mtu ambaye hata humjui zaidi ya kuona maandishi tu.
Punguzeni kwani huwa tunawatoa kwenye kundi la wanaume kamili.
Naunga mkono hoja.Kuvaa vikaputula
Kubishana kwa kujiweka kwenye zile team sijui team Kiba na team Diamond,
Unakuta dume zima na midevu yake eti na lenyewe lipo kwenye hizi team zisizoshiriki ligi yeyote.
mwanaume kujiHabari.
Bila shaka mmeamka vyema.
Nanena na wanaume wenzangu pamoja na vijana wa KIUME. Kuna ka tabia ka kike kike kanaendelea huko kunako simu na mitandao ya kijamii.
Ka tabia haka ni kutumia baadhi ya matamshi ambayo yanapunguza thamani ya uwanaume kwakua na viashiria vingi vya kike.
MFANO wa maneno MACHACHE yanayonikera.
1. THATHA' / XAXA badala ya 'SASA'
2. Mwanaume mwenzio kumtumia meseji ya 'MAMBO'
3. Kumtumia meseji mwanaume mwenzio kisha kuweka emoja za kuona aibu (Nadhani mnazijua)
4. Kukerwa na mtu kisha kupost status kwa vijembe vya mafumbo (hasa nyimbo)
YAKO MENGI
Hebu nawe ongeza matumizi mabaya ya simu ambayo hakupaswa kuwa nayo mwanaume.
Asanteni.
mwanaume kujipost status kila saa yani kila sekunde anapost kitu na kufuta utafikiri kuna mashindano ya umodo kwao ..............alafu sio ya kike kike ni ya kishoga shoga maana mimi mwanamke na siandiki hivyoHabari.
Bila shaka mmeamka vyema.
Nanena na wanaume wenzangu pamoja na vijana wa KIUME. Kuna ka tabia ka kike kike kanaendelea huko kunako simu na mitandao ya kijamii.
Ka tabia haka ni kutumia baadhi ya matamshi ambayo yanapunguza thamani ya uwanaume kwakua na viashiria vingi vya kike.
MFANO wa maneno MACHACHE yanayonikera.
1. THATHA' / XAXA badala ya 'SASA'
2. Mwanaume mwenzio kumtumia meseji ya 'MAMBO'
3. Kumtumia meseji mwanaume mwenzio kisha kuweka emoja za kuona aibu (Nadhani mnazijua)
4. Kukerwa na mtu kisha kupost status kwa vijembe vya mafumbo (hasa nyimbo)
YAKO MENGI
Hebu nawe ongeza matumizi mabaya ya simu ambayo hakupaswa kuwa nayo mwanaume.
Asanteni.