Mwanaume kamili acha mara moja mambo haya

Habari.

Bila shaka mmeamka vyema.

Nanena na wanaume wenzangu pamoja na vijana wa KIUME. Kuna ka tabia ka kike kike kanaendelea huko kunako simu na mitandao ya kijamii.

Ka tabia haka ni kutumia baadhi ya matamshi ambayo yanapunguza thamani ya uwanaume kwakua na viashiria vingi vya kike.

MFANO wa maneno MACHACHE yanayonikera.

1. THATHA' / XAXA badala ya 'SASA'

2. Mwanaume mwenzio kumtumia meseji ya 'MAMBO'

3. Kumtumia meseji mwanaume mwenzio kisha kuweka emoja za kuona aibu (Nadhani mnazijua)

4. Kukerwa na mtu kisha kupost status kwa vijembe vya mafumbo (hasa nyimbo)

YAKO MENGI

Hebu nawe ongeza matumizi mabaya ya simu ambayo hakupaswa kuwa nayo mwanaume.

Asanteni.
Mashabiki wa machester wengi wapo ivyo
 
Mwanaume kutumia iPhone sio vibaya ila ukijisifu huo ni umama



Mwanaume kutoangalia mpira


Kusapoti mademu badala ya mchizi mwenzako


Mwanaume kuwa mmbea kuwasema washkaji kama hawapo waseme wakiwa round wakusikie acha tabia za kike


Mwanaume kukaa na kitu moyoni huo ni udada sasa


Mwanaume kulia lia hovyo lia Mara moja tu na ujifiche tusione machozi yako ili umwage sumu
Frankly mwanaume asiyependa wala kuangalia mpira si vibe nae hata kwa mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo yameandikwa kwenye msahafu gani au fikra za kitanganyika Tanganyika tu?

Wanaovaa makaptula wavae, wanaovaa sendo sijui nini, wavae tu.

Huo muda wa kuangalia nani kavaa nini huwa mnaoutoa wapi aisee? Duh!
 
mwanaume kuongea kwa kuchanganya maneno ya kingereza na kiswahil mara kwa mara kila sentens atakayo ongea alaf mbaya zaid sio wa kishua/mshua

mwanaume kuendelea kushikilia mkono wa mwanaume mwenzako uku ukiuchezea chezea baada ya salamu ya kupeana mikono
 
Habari.

Bila shaka mmeamka vyema.

Nanena na wanaume wenzangu pamoja na vijana wa KIUME. Kuna ka tabia ka kike kike kanaendelea huko kunako simu na mitandao ya kijamii.

Ka tabia haka ni kutumia baadhi ya matamshi ambayo yanapunguza thamani ya uwanaume kwakua na viashiria vingi vya kike.

MFANO wa maneno MACHACHE yanayonikera.

1. THATHA' / XAXA badala ya 'SASA'

2. Mwanaume mwenzio kumtumia meseji ya 'MAMBO'

3. Kumtumia meseji mwanaume mwenzio kisha kuweka emoja za kuona aibu (Nadhani mnazijua)

4. Kukerwa na mtu kisha kupost status kwa vijembe vya mafumbo (hasa nyimbo)

YAKO MENGI

Hebu nawe ongeza matumizi mabaya ya simu ambayo hakupaswa kuwa nayo mwanaume.

Asanteni.
Kuendesha IST
 
mwanaume kuongea kwa kuchanganya maneno ya kingereza na kiswahil mara kwa mara kila sentens atakayo ongea alaf mbaya zaid sio wa kishua/mshua

mwanaume kuendelea kushikilia mkono wa mwanaume mwenzako uku ukiuchezea chezea baada ya salamu ya kupeana mikono
Umeongea kwa uchungu kinoma mwanangu... Big up
 
Back
Top Bottom