Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,779
- 3,743
Kupika wali nazi kisha ukajisifia
Binafsi nikiangalia mpira nasinzia Ila movies apo tutakesha...mpira labda niwe msindikizaji tuu Kwenye kuangaliKama ndio kigezo basi bora mnitoe kundini. Ila kuangalia mpira nimeshindwa😤😤
Bora wewe kama hufuatilii mpira kiujumla maana sometimes stress za mpira zinaweza kukuua, just imagine jana timu yangu imekula 3 kutoka kwa chelsix leo siku nzima imekua mbayaKama ndio kigezo basi bora mnitoe kundini. Ila kuangalia mpira nimeshindwa
Mashabiki wa machester wengi wapo ivyoHabari.
Bila shaka mmeamka vyema.
Nanena na wanaume wenzangu pamoja na vijana wa KIUME. Kuna ka tabia ka kike kike kanaendelea huko kunako simu na mitandao ya kijamii.
Ka tabia haka ni kutumia baadhi ya matamshi ambayo yanapunguza thamani ya uwanaume kwakua na viashiria vingi vya kike.
MFANO wa maneno MACHACHE yanayonikera.
1. THATHA' / XAXA badala ya 'SASA'
2. Mwanaume mwenzio kumtumia meseji ya 'MAMBO'
3. Kumtumia meseji mwanaume mwenzio kisha kuweka emoja za kuona aibu (Nadhani mnazijua)
4. Kukerwa na mtu kisha kupost status kwa vijembe vya mafumbo (hasa nyimbo)
YAKO MENGI
Hebu nawe ongeza matumizi mabaya ya simu ambayo hakupaswa kuwa nayo mwanaume.
Asanteni.
Frankly mwanaume asiyependa wala kuangalia mpira si vibe nae hata kwa mbaliMwanaume kutumia iPhone sio vibaya ila ukijisifu huo ni umama
Mwanaume kutoangalia mpira
Kusapoti mademu badala ya mchizi mwenzako
Mwanaume kuwa mmbea kuwasema washkaji kama hawapo waseme wakiwa round wakusikie acha tabia za kike
Mwanaume kukaa na kitu moyoni huo ni udada sasa
Mwanaume kulia lia hovyo lia Mara moja tu na ujifiche tusione machozi yako ili umwage sumu
Huyo "mai" ni ke au me?Mwanaume anatuma sms eti"mai uko wapi"
Mwanaume anamtumia mwanaume mwenzie.Huyo "mai" ni ke au me?
Duh hiyo ni balaa.Mwanaume anamtumia mwanaume mwenzie.
Hao Mara nyingi ndo wanaangalia tamthiliya za kikorea na kuskiliza taarabu mda wote wapo home hawachanganyiki na sisi kwenye vibanda umiza kuchek mpiraFrankly mwanaume asiyependa wala kuangalia mpira si vibe nae hata kwa mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuendesha ISTHabari.
Bila shaka mmeamka vyema.
Nanena na wanaume wenzangu pamoja na vijana wa KIUME. Kuna ka tabia ka kike kike kanaendelea huko kunako simu na mitandao ya kijamii.
Ka tabia haka ni kutumia baadhi ya matamshi ambayo yanapunguza thamani ya uwanaume kwakua na viashiria vingi vya kike.
MFANO wa maneno MACHACHE yanayonikera.
1. THATHA' / XAXA badala ya 'SASA'
2. Mwanaume mwenzio kumtumia meseji ya 'MAMBO'
3. Kumtumia meseji mwanaume mwenzio kisha kuweka emoja za kuona aibu (Nadhani mnazijua)
4. Kukerwa na mtu kisha kupost status kwa vijembe vya mafumbo (hasa nyimbo)
YAKO MENGI
Hebu nawe ongeza matumizi mabaya ya simu ambayo hakupaswa kuwa nayo mwanaume.
Asanteni.
hahahahahaUkiona unatumiwa meseji za design hiyo tambua mpo kundi moja
Umeongea kwa uchungu kinoma mwanangu... Big upmwanaume kuongea kwa kuchanganya maneno ya kingereza na kiswahil mara kwa mara kila sentens atakayo ongea alaf mbaya zaid sio wa kishua/mshua
mwanaume kuendelea kushikilia mkono wa mwanaume mwenzako uku ukiuchezea chezea baada ya salamu ya kupeana mikono