Mwanaume hili swali una jibuje?

Mwanaume hili swali una jibuje?

Ile una pewa namba au umetafuta namba ya manzi ulie muelewa ile una mtafuta tu una anza ulizwa namba umepata wapi hili swali una jibuje

Mimi huwa najieleza vizuri simtaji muhusika ila nikiona kichwa ngumu basi nasema niliomba namba ya malaya wa karibu nime pewa hii

Wewe una jibuje au ndio una mtaja muhusika alie kupa namba
Mimi siongei na mtu bila ya huyo mtu kuwa na introduction ya mtu tunayemjua wote.

Na mara nyingi huwa mimi ndiye natafutwa.
 
Mimi siongei na mtu bila ya huyo mtu kuwa na introduction ya mtu tunayemjua wote.

Na mara nyingi huwa mimi ndiye natafutwa.
Hii ndio uhakika swala za kujieleza hapana
 
Japo sijawahi ulizwa au kwa kuwa huwa naanza na intro kabisa.

"" Mi flani nimekutafuta kwa shida flan namba yako nimepata sehem flani..""

Sasa hapo akijibu kunya is up to yeye mara nyingi huwa nipo straight tu kama haeleweki namuweka blacklist
 
Japo sijawahi ulizwa au kwa kuwa huwa naanza na intro kabisa.

"" Mi flani nimekutafuta kwa shida flan namba yako nimepata sehem flani..""

Sasa hapo akijibu kunya is up to yeye mara nyingi huwa nipo straight tu kama haeleweki namuweka blacklist
Yaan ile ume tafuta namba then mtu wewe una mjua yeye hakujui
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom