MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Hahahahahh sweetie ninakuelewa lakini si kwamba inategemea? Mf. kwa wale ambao kama mama ndie anayeshikilia uchumi wa familia yake pamoja na yeye mwenyewe! Mama ndie anayemfanya yeye aendeshe gari na kuhonga huyo wa pembeni anaweza kweli kukufanyia ujeuri ilhali kesho anatarajia kukwambia gari haina mafuta? nafikiri ataishia kujinunisha tu ili mradi akutetemeshe roho!. ......uanze tu kujishughulisha mwenyewe mara hizi kaongezee mafuta, e.t.c.
...hapana mwanajamiione,...hapo kwenye red wanaume hatupo hivyo...
mwanaume anapokuwa na alternative, huwa hanuni hata siku moja...ni ujeuri kwa kwenda mbele.
Sijui lakini maana kwa upeo wangu wa siku hizi hata siwezisema ninamwelewa vema binadamu maana kila kukicha ni vituko kwa kwenda mbele si mwanamke si mwanaume.