2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 508
- 1,426
Habari.
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la Wanawake kulalamika kutofikishwa vileleni na wapenzi wao,na lugha hii kwa sasa naona kama inaongelewa karibia na wanawake wote.
Kiukweli shida ya mwanamke kuweza kufika kileleni kwa asilimia chache inaweza pia kuchangia na mtu huyo anayohitaji kufika kileleni.
Mwanaume anahitaji kuona
mwanamke aliye sex (mwenye ushawishi au tuite mvuto)
Mwanamke mwenye mahaba .
Mwanamke anayejua kufanya mapenzi na sio gogo kitandani kama walivyo wengi.
Mwanamke mwenye mood nzuri ya kunyanduana sio kama walivyo wengi.
Mimi sio mwalimu wa mapenzi ila kwa kiasi kadhaa mwanaume wa leo anaonekana hana nguvu ya kiume kumbe mambo mengine yanachangiwa na mwanamke mwenyewe.
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la Wanawake kulalamika kutofikishwa vileleni na wapenzi wao,na lugha hii kwa sasa naona kama inaongelewa karibia na wanawake wote.
Kiukweli shida ya mwanamke kuweza kufika kileleni kwa asilimia chache inaweza pia kuchangia na mtu huyo anayohitaji kufika kileleni.
Mwanaume anahitaji kuona
mwanamke aliye sex (mwenye ushawishi au tuite mvuto)
Mwanamke mwenye mahaba .
Mwanamke anayejua kufanya mapenzi na sio gogo kitandani kama walivyo wengi.
Mwanamke mwenye mood nzuri ya kunyanduana sio kama walivyo wengi.
Mimi sio mwalimu wa mapenzi ila kwa kiasi kadhaa mwanaume wa leo anaonekana hana nguvu ya kiume kumbe mambo mengine yanachangiwa na mwanamke mwenyewe.