franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
Wakuu,
Napitia Sanaa threads nyingi humu MMU, karibia asilimia zote wadau wanajisifia kupita na Pisi Kali TU
Sijui, ana shepu, sura ya kuvutia, kalio kubwa nk.
Sasa najiuliza hizi Pisi mbovu/ za kawaida wao hawana wapenzi?
Binafsi MIMI PISI YANGU Ya kawaida, tunapendana kweli na natarajia kumuoa soon
KUONGOZEA:
Kiukweli nimeshachepuka Sana na Pisi hizo zenu mnazojinadi nazo humu kila siku, ila mwisho hakuna Cha maana za ya kuzinguana na kuachana TU
MY INTAKE:
Hizi Pisi Kali hamna kitu, Piga TU kwa matamanio ila Pisi za kuoa Ni zile mbayaaa, Tena mbayaaa.......ile inshu ya KATAA NDOA tutaisahau
Pia mwanaume kuja kulia sijui demu/mke sijui anazingua/anachepuka Ni ufala
MWISHO:
Popote Ulipo Pisi ya kawaida; usiye na shepu, huvutii, huna kalio Wala sura, ENJOY UR SELF
shi na ule msemo Mungu hakunyimi kila kitu, waache wao na uzuri wao Alafu kila siku wanaishia kuwa Single Mom's, huku ww unaendeleaje na NDOA yako tamu yenye furaha.
Nimemaliza!
Napitia Sanaa threads nyingi humu MMU, karibia asilimia zote wadau wanajisifia kupita na Pisi Kali TU
Sijui, ana shepu, sura ya kuvutia, kalio kubwa nk.
Sasa najiuliza hizi Pisi mbovu/ za kawaida wao hawana wapenzi?
Binafsi MIMI PISI YANGU Ya kawaida, tunapendana kweli na natarajia kumuoa soon
KUONGOZEA:
Kiukweli nimeshachepuka Sana na Pisi hizo zenu mnazojinadi nazo humu kila siku, ila mwisho hakuna Cha maana za ya kuzinguana na kuachana TU
MY INTAKE:
Hizi Pisi Kali hamna kitu, Piga TU kwa matamanio ila Pisi za kuoa Ni zile mbayaaa, Tena mbayaaa.......ile inshu ya KATAA NDOA tutaisahau
Pia mwanaume kuja kulia sijui demu/mke sijui anazingua/anachepuka Ni ufala
MWISHO:
Popote Ulipo Pisi ya kawaida; usiye na shepu, huvutii, huna kalio Wala sura, ENJOY UR SELF
shi na ule msemo Mungu hakunyimi kila kitu, waache wao na uzuri wao Alafu kila siku wanaishia kuwa Single Mom's, huku ww unaendeleaje na NDOA yako tamu yenye furaha.
Nimemaliza!