Mwanaume bumburuka acha uboya wa hivi

Mwanaume bumburuka acha uboya wa hivi

Stara Thomas aliimba "wasi wasi wa mapenzi unaua".
 
Hii ni kutuambia tukitoka tuvae chupi midabwada. Mvumilie kugongewa tu maana hamna namna..uwe mwenye pesa, usiwe nazo..uwe umezaliwa ocean road au tandahimba.
Michepuko haina formula.
Dawa yake ni mimba kila mwaka sasa sijui ataenda kuchepuka na mimba
 
Dawa yake ni mimba kila mwaka sasa sijui ataenda kuchepuka na mimba
Mimba kila mwaka! Wanawake wengi now wanajitambua si rahisi kukubali hivyo. Akitaka mimba isiingie na haiingii ng'o.
 
chupi nyingine zinaendanana nguo fulani ,, sasa unakuta chupi aliyoshika haifai kuvalia hiyo nguo

Chupi aka nguo ya ndani nayo lazima iendane na nguo fulani, nyie wanawake muna mambo nyie
 
mimi kila siku nachagua chupi km nnavyochagua nguo nyingine, wakati mwingine naivaa kabisa halafu naivua nachukua ingine
 
Yaani chupi tu ndio inakutoa roho mkuu..[emoji15], Je ukija ku..mbewa kama ilivyo nitokea mimi..[emoji25], sindio utakuja utujazie kurasa kadhaa kwa povu aiseeee....[emoji187]
 
Yaani chupi tu ndio inakutoa roho mkuu..[emoji15], Je ukija ku..mbewa kama ilivyo nitokea mimi..[emoji25], sindio utakuja utujazie kurasa kadhaa kwa povu aiseeee....[emoji187]



Ilikuaje mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom