Mwanaume bumburuka acha uboya wa hivi

Mwanaume bumburuka acha uboya wa hivi

Mkeo anakuaga leo anakwenda saloon au kwenye kikao cha kina mama, anaoga anaingia chumbani anaanza kuvaa, anashika chupi ya kwanza anataka kuivaa anaiacha anachagua ya pili anaitazamaa anaiacha pia anaona ya tatu ndo inafaa kisha anavaa.

Wewe umelala tu kitandani unachat kwenye whatsapp hujiulizi swali "anachagua chupi nzuri ili nani akaione, kama kuna chupi mbaya kwenye list si azitupe anunue mpya".

Anakuaga anaondoka na wewe unamwambia poa mchana mwema wasalimie uko town, halafu ukiitwa fala unakuja juu eti "ooh mi mtoto wa mjini nimezaliwa ocean road".
Siku nyingine ukiona anachagua chagua chupi mwambie "Bora uende bila kuvaa chupi ndio fashion mpya mjini"
 
Ili afike na kuchomekewa? Hhhhh
Alfu siunajua michepuko haina mambo ya drama nyingi ni mambo ya chap..Huku anamwambia fanya haraka nimemuacha boya nyumbani alfu alikuwa ananikodolea macho nikichagua ile chupi unayoipenda beb!!..
 
We ukiona kavaa chupi bovu unaendelea kuchat unajua anaenda kwny vicoba sio? Inayotombwa ni chupi au uchi? Wewe ni boya zaid, Kama vipi Mwambie aache Uchi nyumbani uulinde!
 
Hakuna kuchoshana na stress siku hizi, siku hizi tunapeana black n white mapemaa.
We ruka salakasi zako zote lkn nikikunasa tu baasi kila mtu achukue hamsini zake.
 
Mkuu kama kaamua kutombesha hata akivaa gagulo na chupi iliyochanika ataliwa tu....mtu mzima hachungwi
Kweli kabisa, wa kumbwato ni wakumbwato tu.


Wanawake wenyewe asilimia kubwa wanagawa kiroho safi tu, ya nini kujistress
 
Tupo sisi wa enzi mwalimu
Te te te hiyo kweli....na kuna midude mingine mnavaa inafanana na magagulo inaning'inia hadi miguu...wanayavaa sana wazalamo sijui yanaitwaje
 
Kwa hiyo akiondoka bila kuvaa chupi au kavaa gagulo ndiyo haendi kuchepuka?Hawa watu kumbe ww hujawajua bado,anaweza hata akavaa chupi ya kaniki lkn akaenda chepuka
 
Kwa hiyo akiondoka bila kuvaa chupi au kavaa gagulo ndiyo haendi kuchepuka?Hawa watu kumbe ww hujawajua bado,anaweza hata akavaa chupi ya kaniki lkn akaenda chepuka


Doooooh kazi ipo
 
Hii mupya,
Hii matching anaenda Jaji Nani?
BTW, Hujambo wewe mzuri mzuri?
Kuna NGUO ukivaa chupi ikiwa ya aina Fulani inaleta show mbaya hasa kwa nyuma .. Ndiyo maana tunachagua sa zingine unaweza kuvaa kabisa nikaamua kuvua baada ya kujiangalia kwenye kiooo.. Mimi sijambo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom