Mwanaume bumburuka acha uboya wa hivi

Mwanaume bumburuka acha uboya wa hivi

Haya Ni majanga! Wake za watu wamecharuka kwa michepuko na wanahonga vizuri! Ikiwa Una rafiki anae deal na cyber crime mwambie akufyatulie vilivyopita kwenye simu ya mkeo unaweza zimia! Wanachepuka kwa visingizio vya vikao vya harusi,kusalimia wagonjwa,kitchen party nk. Mimama mingine mijitu mizima na Ina mamlaka. Shame
 
*Just singing*

No panties and jeans, that's so necessary/
let her do her thang, that's so necessary/
Inspecting what she rocks under, is that necessary?

Just let her change clothes....and go...
 
Wake za watu michepuko balaa! Na mbaya zaidi wanahonga kupindukia. Wanasingizia kwenda kwenye vikao vya harusi,kitchen party au kutembelea wagonjwa! Tena Ni wamama wanashabikia mashindano ya ngono za michepuko mama ufahali
 
Hii ni kutuambia tukitoka tuvae chupi midabwada. Mvumilie kugongewa tu maana hamna namna..uwe mwenye pesa, usiwe nazo..uwe umezaliwa ocean road au tandahimba.
Michepuko haina formula.
 
Hii ni kutuambia tukitoka tuvae chupi midabwada. Mvumilie kugongewa tu maana hamna namna..uwe mwenye pesa, usiwe nazo..uwe umezaliwa ocean road au tandahimba.
Michepuko haina formula.
ha haha huyu ndiyo yule mwanume akikununulia chupi anachukua zote nyeusi au za kijani
 
Ila wadau kuwa na mchepuko raha sana maana kwa mchepuko mnajiachia sana hata vitu mkeo hakupi unaeza pata kwa mchepuko
 
Ukifikiria haya mambo sana kwa undani unaweza kuwehuka.
 
Ila wadau kuwa na mchepuko raha sana maana kwa mchepuko mnajiachia sana hata vitu mkeo hakupi unaeza pata kwa mchepuko
halafu michepuko hakuna mipango mingi.. mpango mkuu ni kufanya tu ha hahaha
 
Pole sana... kheri huyo anyechagua chupi ya kuvaa.. wengine hawavai kabisa...
 
Teh teh..Kama mkeo hana kawaida hiyo siku akifanya hivyo basi ni tatizo..Wengine ni kawaida yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom