Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua mwenyewe

Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua mwenyewe

Uzuri na urembo wako, pamba na mkorogo, makalio na mahips ulivyonavyo kamwe havitamfanya mwanaume uliye naye awe wako peke yako.
Unajidanganya.

Mwanaume hatosheki hata umpe kila Tundu bado tu atatoka. Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua MWENYEWE kutulia.

MUOMBE MUNGU AMPE MUME WAKO KUTULIA, WANAWAKE WANAOPITA MBELE YAKE AWAONE KAMA SCORPION WA BUGURUNI.
Mkuu Bujibuji hivi wewe hivi sasa umetulia?,maana siamini kwa makeke ulionayo maana hupitwi macho juu juu ha hahaaa au umri umeporomoka tayari.
 
Ujue nakuoneaga wivu sana! Yaani comment zako mie hoi.
Mkuu Ficus,kaa mbali na mali za watu bhana,huyo mtoto kapata Mkurya wa Rorya,anapata pozo la roho na chakula cha moyo,usione anapendeza anagharamiwa,lakini kumbuka hii(SASA UNAINGIA MKOA WA MARA).
 
We fanya majukumu yako vizuri baby
Baby,labda siku moja nipige mashine mpaka ipasuke,maana nimesimamia kucha mara nyingi lakini sioni mabadiliko,nimepiga ile style ya kunguru kanasa lakini wapi,nimepiga mbwa kachoka lakini holaa,nimepiga chuma mboga lakini bado unagawa tu,nimepiga mbuzi kagoma lakini ni hasara tupu,nimepiga mjusi anaanguka lakini wapiiiii,nimepiga paka kaumia kwishney,nimekupiga kunguru kabinuka lakini wapiiiiiii,nimekupiga mwari kabinuka lakini wapiiii,sasa ngoja nibadili gia angani nipige ile inaitwa reverse gear ya matope,nafikiri hiyo ndio unahitaji,hapo nitahakikisha naingia mzima bila kubakisha mabega,ikishindikana gear ya matope basi nitajua pesa inahusika,hivyo basi kabla ya game nitakuwa nakukabidhi kitofali cha noti,nafikiri hapo utakuwa unafika kabla sijachomeka pipi mti ya machungwa au vipi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Uzuri na urembo wako, pamba na mkorogo, makalio na mahips ulivyonavyo kamwe havitamfanya mwanaume uliye naye awe wako peke yako.
Unajidanganya.

Mwanaume hatosheki hata umpe kila Tundu bado tu atatoka. Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua MWENYEWE kutulia.

MUOMBE MUNGU AMPE MUME WAKO KUTULIA, WANAWAKE WANAOPITA MBELE YAKE AWAONE KAMA SCORPION WA BUGURUNI.
Tuende mbele turudi nyuma. Aisee vitoto vinazaliwa saivi vizuri hatari. Yaani unakuta kina 20's lakin ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] yaani hili swala mungu aingile kati maana sio kwa uzuri huu
 
Hebu funguka unaharibu maumbile kivipi ili kumvutia mume!? kujiremba? 😕😕

Naked truth...

Mwanaume atatulia kama ataamua mwenyewe kutulia...

Ndio maana sipendi kuichosha nafsi yangu na kukuru kakara mpaka za kuharibu maumbile eti kumvutia mume asitoke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom