Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua mwenyewe

Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua mwenyewe

Uzuri na urembo wako, pamba na mkorogo, makalio na mahips ulivyonavyo kamwe havitamfanya mwanaume uliye naye awe wako peke yako.
Unajidanganya.

Mwanaume hatosheki hata umpe kila Tundu bado tu atatoka. Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua MWENYEWE kutulia.

MUOMBE MUNGU AMPE MUME WAKO KUTULIA, WANAWAKE WANAOPITA MBELE YAKE AWAONE KAMA SCORPION WA BUGURUNI.
Ni ukweli usemayo lakini sio ukweli wote. Ukweli wote uko hivi: Mwanaume akiamua mwenyewe kutulia, uamuzi huo hautoki ndani mwake pekee ila pia kuna external factors zinazoathiri uamuzi huo. External factor moja kubwa ni mwenendo wa mwenzake. Kama mwenzake - mke au mchumba - katulia na ana tabia nzuri, mume/rafiki aweza kabisa kujisemea: "kuhangaika huku kutanifikisha wapi? Ngoja niachane na haya mambo." Na anaacha anatulia. Ukiona hivyo usidhani ni nguvu zake mwenyewe!
 
hata mwanammke pia!
hakuna kinachoweza kumtuliza mwanammke ,zaidi ya mwanammke anaetaka kutulizwa.
Kudos, ,,,

Kwenye mapenzi ni Vigumu kumtuliza mtu. Ni mtu mwenyewe huamua kutulizana (vieffort vinatakiwa vidogo lkn) .ila kama hajaamua aseeh mwache tu
 
Uzuri na urembo wako, pamba na mkorogo, makalio na mahips ulivyonavyo kamwe havitamfanya mwanaume uliye naye awe wako peke yako.
Unajidanganya.

Mwanaume hatosheki hata umpe kila Tundu bado tu atatoka. Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua MWENYEWE kutulia.

MUOMBE MUNGU AMPE MUME WAKO KUTULIA, WANAWAKE WANAOPITA MBELE YAKE AWAONE KAMA SCORPION WA BUGURUNI.
very true! hata umpe nini unaweza ukamkuta na mwanamke mpaka unajiuliza huyu anamatatizo gani? na ukimkuta katulia mbona unasema pepo ya dunia yangu peke yangu..
 
shetani ni lijinga sana. Halifanyagi kitu cha hasara kwake. Akikupa kitu kimoja ujue hakika atachukua kutoka kwako kumi na moja. Sema tu muda wa kuvichukua hivyo 11 tu ndio huwa unatofautiana tu.
''Maana mwivi huja ili KUIBA, KUUA na KUHARIBU'' Yoh 10.10 Hii inamanisha kila anachokifanya lazima kitaishia tu hapo kwenye hivyo vitu vitatu. Mtu akienda tu kwa mganga wa jadi harudi kama alivyoenda. iwe amepata tiba ama la. anarudi na mapandikizi kibao.

Ni habari ndefu naweza nisiweze kuielezea kwa undani wake sasa ila lazima tujue kila kinachotokea katika ulimwengu wa kimwili kinakua kimeshatokea katika ulimwengu usioonekana. Yaani kila kitu unachokiona kila kiroho chake
''Kwa imani sisi tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu; vitu vinavyoonekana kutoka vitu visivyoonekana'' Hebr 11:3
inatakiwa mwanamke amlinde mumewe kwa maombi, wao wamejiongeza eti wanamlinda kwa limbwata
 
True that!!

Hamna mtu anaetulia kwa shurti au kubembelezwa hata siku moja.
 
atatuliaje wakati kinamuwasha kila dk fyuuu bujibuji ktk ubora wake
 
Naked truth...

Mwanaume atatulia kama ataamua mwenyewe kutulia...

Ndio maana sipendi kuichosha nafsi yangu na kukuru kakara mpaka za kuharibu maumbile eti kumvutia mume asitoke.
Lakini mimi nimetulia kwako mtani...teh teh!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom