miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Nilikuwa nataniayerewiiiiiiiii
miss chagga baba mkewe wako anakuona ujue
Nilikuwa nataniayerewiiiiiiiii
miss chagga baba mkewe wako anakuona ujue
Ha ha ha wanajuaga wanatukomoa kumbe tuamue wenyewe tuAhahaaaa nimecheka uwiii. Mae umejipindia wewe [emoji23][emoji23]
Patience wewe una mambo kama kipanga,yaani hutaki kuharibu maumbile wakati huo ni mtaji umeukalia.Naked truth...
Mwanaume atatulia kama ataamua mwenyewe kutulia...
Ndio maana sipendi kuichosha nafsi yangu na kukuru kakara mpaka za kuharibu maumbile eti kumvutia mume asitoke.
100% uko sahihiUzuri na urembo wako, pamba na mkorogo, makalio na mahips ulivyonavyo kamwe havitamfanya mwanaume uliye naye awe wako peke yako.
Unajidanganya.
Mwanaume hatosheki hata umpe kila Tundu bado tu atatoka. Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua MWENYEWE kutulia.
MUOMBE MUNGU AMPE MUME WAKO KUTULIA, WANAWAKE WANAOPITA MBELE YAKE AWAONE KAMA SCORPION WA BUGURUNI.
Sasa we Ariana nikutulize mara ngapi?hata mwanammke pia!
hakuna kinachoweza kumtuliza mwanammke ,zaidi ya mwanammke anaetaka kutulizwa.
Daah kazi ipo,maana ni bora uolewe na popo bawa sasa,maana nimekoma sasa.ndiyo manvyojidanganya tunagongwa vizuri tu
Na ngoma wakati huo imeingia ndi.kila mtu afanye kwa nafasi yake.. muda ukifika atakituliza tu
Ha ha ulininyima nawapaDaah kazi ipo,maana ni bora uolewe na popo bawa sasa,maana nimekoma sasa.
Mara tatu kwa siku,na bado unasema nakunyima,labda na wewe unataka kuharibu maumbile?au tayari?,leo mpaka nichungulie kama ni kweli.Ha ha ulininyima nawapa
Bila kusahau tigo pia wanatumia.inatakiwa mwanamke amlinde mumewe kwa maombi, wao wamejiongeza eti wanamlinda kwa limbwata
Yaani unaenda kuitoa sadaka kisa mme wako kicheche?,halafu mkienda mnaliwa mpaka tigo,eti unamkomoa mmeo,daah unaharibiwa maumbile we unaona fahari eti ooh aah oooh baby nipe yoote aiii aah auuh aaaaah.na ndo maana hatusubiri mpk muamue kutulia.... na sie tunafanya yetu mkishtuka ngoma droo na presha zinawapanda
Umenifurahisha baby.Me sitaki
Uzuri na urembo wako, pamba na mkorogo, makalio na mahips ulivyonavyo kamwe havitamfanya mwanaume uliye naye awe wako peke yako.
Unajidanganya.
Mwanaume hatosheki hata umpe kila Tundu bado tu atatoka. Mwanaume atatulia iwapo tu ataamua MWENYEWE kutulia.
MUOMBE MUNGU AMPE MUME WAKO KUTULIA, WANAWAKE WANAOPITA MBELE YAKE AWAONE KAMA SCORPION WA BUGURUNI.
Ndiyo hivyoNa ngoma wakati huo imeingia ndi.
Asante babyUmenifurahisha baby.
Wewe tena mtani...!?Kwako wewe ninajiskia nimebarikiwa kuliko wanawake wote.Lakini mimi nimetulia kwako mtani...teh teh!!
Kwa maombi''Mungu amefanya jambo jipya duniani ya kwamba Mwanamke ATAMLINDA Mwanaume (Mumewe)'' Yer 31:22 b