St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,636
- 4,519
- Thread starter
- #21
Duh kumbe mt.paka mweusi bado anakopa eeeeh,aangalie asijeitiwa mwizi akapoteza uhai
Bahati hizi mnaziachia,juzi nimekuambia utanizoea polepole ukaruka,ndema ni nataka hendsamu....haya bana mi bado niponipo sana tu...