Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Mwenyekiti nimerudi wapendwa na wapenzi wangu, kwanza kabisa ningependa kujua ndoa ya passion lady na Ruttashobolwa imeshafungwa...!?? maana hadi napelekwa guantanamo niliacha kamati ziko busy na maandalizi, nimefika nyumbani tu nakuta kuna barua imeletwa na oldd vampire kutaka kufunga ndoa na stevoh, nahitaji kupata neno toka kwa wawili hawa, .
Wapendwa msishangae kuona mwenyekiti nimeandamwa na jinamizi la ban, Hii ni kutokana na msimamo wangu usioyumba katika kutetea wanyonge na raslimali za nchi hii dhidi ya wajinga flani wagumu kuelewa kiasi kwamba huwa nalazimika KUWABUTUA ili point ziwakae vichwani, na.ndo hapo Mume wa King'asti anaponikamatia, .
Kutokana na kukosekana kwangu mara chache hapa imefikia hatua kuna Id tajwa pale kwenye heading zimekomaa eti ning'olewe, Nilishasema kuwa hapa sitang'olewa kwa majungu ya watu bali nitapumzishwa kwa ridhaa ya wana Chit chat na mimi mwenyewe kwani mimi na chit chat HATUKUKUTANA BARABARANI..teh teh teh
Wapendwa ili kuepusha msongamano wa majukumu napenda kuwaambia kuwa hivi karibuni nitateuwa wasaidizi wa mwenyekiti watakaokuwa wanakaimu nafasi ya mwenyekiti endapo ikitokea dharula..ntarudi ngoja nikamuone Mama v kabla sijapigwa ban nyingine maana hii ya mara ya mwisho nilikamatwa kabla hata sijafika home.
Copy: ( eliah G Kamwela , Gonzaga Ngonyani Mpenda Yesu) Kwa sababu maalumu.
Copy: Filipo, Judgement , watu8 , Ndelejha Mamndenyi , Mr Rocky measkron , snowhite , Arushaone, Madame B Dr.zero Kipipi , Erickb52 , Zion Daughter, Ismail N. Juma, Chimbuvu , Slave, noahism , cacico , gfsonwin , Dena Amsi Vin Diesel , BAK Mentor , Evelyn Salt , C6 , amu , Arabela , Paw , Bishanga, charminglady , nitonye sweetlady, mkiva , kyanaKyoMuhaya PakaJimmy, Mungi , Mwanyasi , Chilli tedo stevoh , chardams , Preta.........
Nitarudi.......
Baba V
Wapendwa msishangae kuona mwenyekiti nimeandamwa na jinamizi la ban, Hii ni kutokana na msimamo wangu usioyumba katika kutetea wanyonge na raslimali za nchi hii dhidi ya wajinga flani wagumu kuelewa kiasi kwamba huwa nalazimika KUWABUTUA ili point ziwakae vichwani, na.ndo hapo Mume wa King'asti anaponikamatia, .
Kutokana na kukosekana kwangu mara chache hapa imefikia hatua kuna Id tajwa pale kwenye heading zimekomaa eti ning'olewe, Nilishasema kuwa hapa sitang'olewa kwa majungu ya watu bali nitapumzishwa kwa ridhaa ya wana Chit chat na mimi mwenyewe kwani mimi na chit chat HATUKUKUTANA BARABARANI..teh teh teh
Wapendwa ili kuepusha msongamano wa majukumu napenda kuwaambia kuwa hivi karibuni nitateuwa wasaidizi wa mwenyekiti watakaokuwa wanakaimu nafasi ya mwenyekiti endapo ikitokea dharula..ntarudi ngoja nikamuone Mama v kabla sijapigwa ban nyingine maana hii ya mara ya mwisho nilikamatwa kabla hata sijafika home.
Copy: ( eliah G Kamwela , Gonzaga Ngonyani Mpenda Yesu) Kwa sababu maalumu.
Copy: Filipo, Judgement , watu8 , Ndelejha Mamndenyi , Mr Rocky measkron , snowhite , Arushaone, Madame B Dr.zero Kipipi , Erickb52 , Zion Daughter, Ismail N. Juma, Chimbuvu , Slave, noahism , cacico , gfsonwin , Dena Amsi Vin Diesel , BAK Mentor , Evelyn Salt , C6 , amu , Arabela , Paw , Bishanga, charminglady , nitonye sweetlady, mkiva , kyanaKyoMuhaya PakaJimmy, Mungi , Mwanyasi , Chilli tedo stevoh , chardams , Preta.........
Nitarudi.......
Baba V
Last edited by a moderator: