CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
nini kinaendelea hapa.....nani anaoa na nani haoi......?
da Preta eti St. Paka Mweusi kagoma kuoa mpaka Yesu aje!!!!!
Last edited by a moderator:
nini kinaendelea hapa.....nani anaoa na nani haoi......?
nini kinaendelea hapa.....nani anaoa na nani haoi......?
Afu nshasahau ujue, afazali umenikumbusha St. Paka Mweusi. Enhe... unanilipa lini lile deni nalokudai?
Eti St. Paka Mweusi amekataa kukuoa!?
da Preta eti St. Paka Mweusi kagoma kuoa mpaka Yesu aje!!!!!
naungana nae kabisa....aoe nini....?....mwisho wa dunia ni 2014......huo mwaka uliobaki abanane?.....God Forbid......
Duh kumbe mt.paka mweusi bado anakopa eeeeh,aangalie asijeitiwa mwizi akapoteza uhai
naungana nae kabisa....aoe nini....?....mwisho wa dunia ni 2014......huo mwaka uliobaki abanane?.....God Forbid......
naungana nae kabisa....aoe nini....?....mwisho wa dunia ni 2014......huo mwaka uliobaki abanane?.....God Forbid......
Hivi unajua kwa maneno yako haya umepotezea ajira wanawake wangapi? Mke mtarajiwa na nyumba ndogo kadhaa.
una rupia za kijerumani wewe?????
Hapa mnaongelea nini mkuu.........kuzeeka au kupoteza nyumba ndogo?
Hapa mnaongelea nini mkuu.........kuzeeka au kupoteza nyumba ndogo?
Kwanza swali lina conclusion kwamba nyumba ndogo lazima ziwepo........kama sikubaliani na hiyo conclusion bado natakiwa kuchangia??hapa mkuu inazungumziwa eti.......nyumba ndogo zikiwa hazipo....ufanyeje....? suluhisho linahitajika hapa.......
Kwanza swali lina conclusion kwamba nyumba ndogo lazima ziwepo........kama sikubaliani na hiyo conclusion bado natakiwa kuchangia??
On the second thought.........kwani huwezi kumfanya mama yeyoo baba tamtam wako kuwa nyumba ndogo?.....
labda tuweke list ya vitu vinavyofanya Nyumba ndogo iwe nyumba ndogo...
1) .....
Kibaya kwa mwanaume ni jogoo kutowika kwa mbwembwe