Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,440
- 25,582
Haoi mtu hadi ngoma isome 40.
Khaaa....
Haoi mtu hadi ngoma isome 40.
Mwanaume hazeeki mkuu St. Paka Mweusi , age ain't a thing but number, hasa ukiwa na pesa ndo kabisaa!!!!, myself I am 74 years Young
yaaah......kwani nini bana!!mimi naona iwe hivi....ili mjadala usiwe mreeeeeeefu.....mkuu @St Paka Mweusi ye aendelee kumega.....kwani nini bana....halafu hapo mbeleni ndio afanye uamuzi au asifanye kabisa.....we unaonaje.....?
Finally
Nimechoka na pressure toka kila kona wakuu,kila kukicha unazeeka ,unazeeka na nikiuliza nazeeka kivipi wananiambia mpaka leo hujaoa tu bado unasubiri nini..??Au unataka wanao waje kukuita babu.Naomba ufafanuzi wenzangu hivi mwanaume mpaka aanze kuandamwa hivi inaonekana kuna walakini sehemu fulani.Ni lini na katika umri gani hasa mwanaume anapokuwa amezeeka na amechelewa kuoa..:crazy::crazy::crazy:
Copy: Arushaone Asprin Madame B Arabela zubedayo_mchuzi Preta Masanilo Nyani Ngabu Ruttashobolwa Bishanga Erickb52 Mungi Filipo marejesho Mkuu rombo Chilli tedo gfsonwin BADILI TABIA Kongosho C6 charminglady Baba V Ciello Kipipi Judgement figganigga mzee wa mia. beibe nasty na wengine wote ambao sikuwatumia copy..
Hahahhaaa St. Paka Mweusi umenichekesha aiseeeShabash,huu nauita ushauri wa mwaka na nimepata jibu la kuwapa wajomba....Na LIKE umeiona hapo Erickb52 ..??
Me nahisi akifika 38 years St.Paka Mweusi
.......ukifika miaka 35!..........
Inabidi uoe wewe kama unaona wakati umefika! Usioe kwa pressure za watu! Ila kwa wewe paka mweusi bora uoe sababu:::::.::::::::::::::::;:.:
ukioa kwa pressure unaweza ukaangukia kwenye
"Chuma chakavu"
source Zinduna
Nimekusoma Loya asante kwa ushauri...
Nilijua tu.......:majani7:Finally
some sense inakuja kwanini watu wamegoma ku-committ beyond 2-3 encounters za uhakika hata kama ni ndani ya siku 3
ponda mali kufa kwaja
Mh,kwa mtaji huu mi nishazeeka,lakini mbona bado naweza .. ??Na kadri siku zinavyokwenda ndio utendaji unavyoongezeka na ninajituma kwelikweli,sasa huu uzee huu ah ,wacha niache tu...
...ndo uoe sasa ujitume kihalali kwa mkeo........mkajaze dunia..............
Kwani wewe Shekhi yaya??Nilijua tu.......:majani7: