Mahakama hailazimishi nani awe mke. Inatafuta haki.Kwanini kashindwa kupangua hoja huko Mahakamani mpaka ikamuona ana hatia?
Mahakama hailazimishi nani awe mke. Inatafuta haki.Kwanini kashindwa kupangua hoja huko Mahakamani mpaka ikamuona ana hatia?
Angalia kucha mzee baba ndio utajuaHuyu ndo kaachwa?
Dada wa kazi aliona fursa akaitumia au nasema uongo ndugu zangu??Wanaume hawana shukrani hata ujitume vipi ku cheat kuko pale pale tu na ka amenichoka heri aniache sio kutafUta excuse sijui dada wa kazi na blah blah
ukimaliza nipe namba ya mkeo nithibitishe(jokes)Hizi zote ni tabia za mke wangu kabisa.
Ngoja nifanye mchakato kama huu, nimeyapenda bure maamuzi ya jamaa na Mahakama pia.
Heri yenu wa Mjini.Woooyooooooo.......!!!
Nipo jijini Ilala kitongoji cha Gongolamboto.
Nshaandaa kikapu nasubiri kutunzwa...😅😜.
Nimependa ulivyomaliziaaMtu mke na mtu mme hukutana na kuanza mapenzi motomoto
Wakishazoeana ubunifu huisha, hakuna kujitoa kwa mwenzie kila mtu anamtegea mwenzie ndo awe na amsha amsha.
Na atayekuwa na kiherehere cha kuwa na amsha amsha ili mahusiano yasilege ataonekana msumbufu, mkabaji, hana shughuli za kufanya kazi kufatiliana na kubanana.....
Watu hubadilika kutokana na nyakati, mazingira, watu wanaowazunguka n.k.
Ukiona uko kwenye mahusiano na mtu na anakuheshimu huyo mtu mrejeshee heshima, nakwambia lazima mstaafu pamoja hata kama mapenzi yameisha.
Mpende mkeo...
Mpende mmeo.....
Mpende mwanao....
Alisikika Machinga mmoja akinadi mataulo ya mtumba maeneo ya Karume jijini Daslamu 😅.
Haki inapatikanaje Mahamakani bila kutetea hoja?Mahakama hailazimishi nani awe mke. Inatafuta haki.
Nafikiri Mahakama ilijikita kuangalia haki za huyo mwanamke katika suala la mali n.k zisipotee na si kumrudisha kwa mumewe.Haki inapatikanaje Mahamakani bila kutetea hoja?
Ok but Mwanamke hakwenda Mahakamani kwa ajili ya Mali bali kuokoa ndoa yake.Nafikiri Mahakama ilijikita kuangalia haki za huyo mwanamke katika suala la mali n.k zisipotee na si kumrudisha kwa mumewe.
Ok boss.Ok but Mwanamke hakwenda Mahakamani kwa ajili ya Mali bali kuokoa ndoa yake.
Mwanamke ni msaidizi wa mwanaumeMmmh wanaume anakuoa ili uwe mfanyakazi wake
mbona mwanaume kaongea vitu vya msingi sana ambavyo ata uko nchi za magharibi wanavizingatia? mfano kuna mahala kalalamika kua mkewe hana muda nae kabisa kuna wakati anahitaji faraja,kubadilishana mawazo na muda wake pia lakin vyote hivi amekua anavita kwa house girl, mke yuko busy na simu muda wote na ikifika weekend ni vikao na harusiWanaume wa kiafrika ndo akili zenu zilipoishia..unafikiri ukishaoa mke umejipatia na mfanyakazi wa ndani, yeye huyo mume alikua amekamilika kwa lipi?? Sijaona sababu ya kuacha mke hapo na huyo msichana wa kazi ajiandae baada ya miaka kadhaa na yy atatafutiwa sababu., kama ninkazi wanawake kibao wanafanya kila kitu kwa waume zao bado wanaachwa na kufanyiwa ushenzi..bado tuna safari ndefu sana kwa mtindo huu Africa itabaki kuwa bara la giza milele na milele
Halaf cha ajabu hawa wanaume wanaoongea ongea amevunja ndoa yake na mikono yake mwenyewe anataka yeye apikiwe afuliwe afanyiwe majukumu yote ya mume ajabu muulize yeye kamnunulia lini mkewe hata chupi utasikia maisha ni kusaidiana mara na yeye ana kazi anunue mwenyewe, hapo analalamika hvo si ajabu wote wanafanya kazi na wote wanachoka kwa kiwango kile kile bado mtu ana thubutu kusema hafui mara hatandiki alafu zikija bili mwanaume mzima anaweka mezani agawane na mkewe nyie wanaume weusi mna shida jamani yani sijui mna akili za aina gani
Nawe utakua una tabia hizo zilizomfanya mwenzako aachwe, ukiona mwenzako ananyolewa............Wanaume wa kiafrika ndo akili zenu zilipoishia..unafikiri ukishaoa mke umejipatia na mfanyakazi wa ndani, yeye huyo mume alikua amekamilika kwa lipi?? Sijaona sababu ya kuacha mke hapo na huyo msichana wa kazi ajiandae baada ya miaka kadhaa na yy atatafutiwa sababu., kama ninkazi wanawake kibao wanafanya kila kitu kwa waume zao bado wanaachwa na kufanyiwa ushenzi..bado tuna safari ndefu sana kwa mtindo huu Africa itabaki kuwa bara la giza milele na milele
Halaf cha ajabu hawa wanaume wanaoongea ongea amevunja ndoa yake na mikono yake mwenyewe anataka yeye apikiwe afuliwe afanyiwe majukumu yote ya mume ajabu muulize yeye kamnunulia lini mkewe hata chupi utasikia maisha ni kusaidiana mara na yeye ana kazi anunue mwenyewe, hapo analalamika hvo si ajabu wote wanafanya kazi na wote wanachoka kwa kiwango kile kile bado mtu ana thubutu kusema hafui mara hatandiki alafu zikija bili mwanaume mzima anaweka mezani agawane na mkewe nyie wanaume weusi mna shida jamani yani sijui mna akili za aina gani
Ameibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe
Shangazi acha kudanganya mabinti wa watuHuyo mume anahitaji dish washer, washing machine, smart-kitchen!, si aseme tu kafuata hilo guu, hakuna masufuria, ugali katika law of attraction!!! Asimbambikizie tope mke wake wa zamani, kuachwa kunauma ila to be told you are responsible for such a mess is soo UNFAIR
Kunguru hafugiki siku hizi kuna machine za kufanya kila kitu, lakini bado haziwezi kuwa mkeDada wa kazi aliona fursa akaitumia au nasema uongo ndugu zangu??
Mabinti wanao jielewa hawawezi fuata ushahuri wakijinga .Shangazi acha kudanganya mabinti wa watu
Wasije kuwa kama wewe