partey
Member
- Nov 16, 2020
- 50
- 56
Dada yangu ni kama vile umejibu kwa kupanic Sana; kama swala lilienda mpaka mahakamani na mahakama ikaridhia waachane kutokana na sababu za wazi kabisa ambazo ni rahisi kuzivumilia kwa muda mfupi lakini sio kwa kipindi chote mnachoishi, inafika mahala mpaka swala la mumeo mfanyakazi wa ndani ndio anawajibika hilo binafsi naliona ni tatzo.Wanaume wa kiafrika ndo akili zenu zilipoishia..unafikiri ukishaoa mke umejipatia na mfanyakazi wa ndani, yeye huyo mume alikua amekamilika kwa lipi?? Sijaona sababu ya kuacha mke hapo na huyo msichana wa kazi ajiandae baada ya miaka kadhaa na yy atatafutiwa sababu., kama ninkazi wanawake kibao wanafanya kila kitu kwa waume zao bado wanaachwa na kufanyiwa ushenzi..bado tuna safari ndefu sana kwa mtindo huu Africa itabaki kuwa bara la giza milele na milele
Halaf cha ajabu hawa wanaume wanaoongea ongea amevunja ndoa yake na mikono yake mwenyewe anataka yeye apikiwe afuliwe afanyiwe majukumu yote ya mume ajabu muulize yeye kamnunulia lini mkewe hata chupi utasikia maisha ni kusaidiana mara na yeye ana kazi anunue mwenyewe, hapo analalamika hvo si ajabu wote wanafanya kazi na wote wanachoka kwa kiwango kile kile bado mtu ana thubutu kusema hafui mara hatandiki alafu zikija bili mwanaume mzima anaweka mezani agawane na mkewe nyie wanaume weusi mna shida jamani yani sijui mna akili za aina gani
Mwanamke anauyejitambua siku zote yuko makini na ndoa yake..
Hatukatai mapungufu ya