imeandikwa wapi...
hereni vipi?nayo kinondoni?Kwetu sisi Akina Picaso de Chupitos kutoka mexico hiyo code Ujuwe huyo ana namba yake tayar dunia mzima.Ila ki bongo bongo ni wanaume wa kinondoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Anawekwa mpini, full stop, usitishike na picha ya 2pac a.k.a Atupakisye Mnyakyusa wa Kasokela
Ata akiwa celebrity mkuu, si vyema kufanya jambo km ilo. Linakuwa si uanaume.Hivo vitu acha wafanye hao macelebs tu ukifanya mwenzangu na mimi wa kwa mtogole utaonekana sio ridhiki. Perceptions za wabongo.
Understood! Chakushangaza wapo mabinti na wanawake wanaowazimia na kuwapenda kwa moyo wote, hapo nafikiri hili swala la kusema "si uanaume" lipo very subjective. Its depends na individuals thoughts. i.e Wakati mmoja anapenda mwanaume mpole, gentleman na mtaratibu kuna wanawake wengine wanapenda wanaume chakaramu, rough and hardcore.Ata akiwa celebrity mkuu, si vyema kufanya jambo km ilo. Linakuwa si uanaume.
Unamjua Abdul Cisco wa CCM au ulikuwa bado unachambishwa kwenu?