Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,451
Haya ngoja nikubembeleze le mbebz wangu wa ukweli....anza wewee!mwanamke lazima abembelezweee!!!
GENIE, HEBU KUJA PANDE HII NIKURENGE.
Haya ngoja nikubembeleze le mbebz wangu wa ukweli....anza wewee!mwanamke lazima abembelezweee!!!
Ewaaaaa.... sasa unaanza kupata hekima kama Madame Ritta.natakiwa nipate wazee km nyie!!
Maana vijana siwawezii
hhhhaaaahhhhaaaa!!!.
naja my new babyyy
hahaaaaHakika utafurahia maisha yako, nami ntakupa vya kwangu,
Ntairidhisha nafsi yako, upate raha za ulimwengu,
Uendako na urudiko, utakuwa na ulinzi wangu
Utasahau utokako, na kumshukuru Mungu.......
Njoo kwangu bebi wangu, uuhifadhi moyo wako
Dedikesheni to my new bebi geniveros
Mwaa kwa lips zake laini kama sufi ya Handeni
Mi nimeona hiyo red tu....hahaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Si kwa mashairi hayo jamani kama Shaba Robert!!Me luv u too!
Mi nimeona hiyo red tu....
Na nimeihifadhi hapa kwa moyo wangu. Mapigo ya moyo yameongezeka.
Niambie kabisa, nikuletee limbwata uniwekee??? Nataka nikupende peke yako
!!Thats my girl...![]()
![]()
![]()
![]()
!!
Asanteee!!!
Limbwata silitaki mie njoo wewee tu!
tupeana vya bara na pwanii!
Ulishawahi kushushwa kibusha?Thats my girl...
Yani chapchap sana kwa raha zetu.
Wenye wivu wasukume ukuta
Mungu atubariki wanawake wote wavumilivu, atupe ujasiri wa kuamua yaliyomema kwa ajili ya vizazi vyetu, atuondolee magumu na mabalaa yootewanawake wengi tunafia watoto!
hata Mimi nilirudi Ila nkakuta chepuko ndani!nkarudi DAR!
Ndo ikawa mwisho wetu!
Hakuna mwanamke anaependa kulea peke yake hata kama mime hamuhudumii atapambana kwa ajili ya wanawe!
Usije kusema sijakuonya.

Utatimuliwa mavumbi tu. Shauri zakoUsije kusema sijakuonya.
Nitakufuata mpaka Hisaje, nikikukosa naenda Facebook pub![]()
Wivu sina ila roho inauma!!hahaaa!!punguza wivu basiii!!
Huyo niachie mwenyewe. Ntamnyoosha. Mwambie kabisa mi sijaribiwi.hahaaa!!punguza wivu basiii!!