kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,128
- 16,098
Atakumbukwa kwa kulichachafya bunge kipindi hicho!
Ndiyo tatizo la jukwaa kuvamiwa na vitoto vya Division 5 kula kulala, huyo alikuwa ni Mbunge wa jimbo la Lupa mkoani mbeya wilaya ya chunya,kwa sasa Jimbo la Lupa lipo mkoa wa songwe,Huyo ni mbunge wa zamani wa Mbeya mjini kama sikosei.
Daa kweli nimesaka historia yake hadi nimeoa na picha kabisa kweli alikuwa kichwa. Poleni sanaKama siyo Nyerere basi leo tungekuwa na serikali ya Tanganyika.
Hivyo vichwa vya G55 vilipanga hoja zilizompoteza kabisa mzee wetu mpendwa Julius Kambarage Nyerere ambaye aliishiwa kabisa hoja za kuvikabili vichwa hivyo ikabidi asiye mbunge au kiongozi kwa wakati huo aombe kuingia bungeni ambako aliishia kutishia kwamba kama wataendelea kushikilia hoja hiyo basi yeye atarudisha kadi namba moja na kujitoa CCM.
Kabisa hata ongea yake ni mtu mwenye msimamo fulaniUkikipitia kitabu chake utaupenda uwezo wake wa kujenga hoja na lile vugu vugu la G55 unaona jinsi gani mzee huyu alikuwa hazina kubwa.... mwaka 1995 na nia yake ya kuutaka urais huku sera ya utanganyika haikuwahi kutoka kinywani mwake
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Nimeshapata mambo yake alikuwa ni shidaaHuyu mzee alianzisha kundi la wabunge 55 la kudai serikali ya Tanganyika wakati malecela akiwa waziri mkuu kitu kilichomuudhi Sana Nyerere na ndiyo sababu malecela kukataliwa kugombea urais.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Wewe umejuaje kuwa sio?Bavicha watakwambia corona.
Nyie watoto siku nyingine msibishane nasisi kwenye siasa pambafMmmm huyu atakuwa mkongwe sana sijawahi msikia hata
Kama ndio unamsikia Kasaka leo,niseme maneno matano tu "wewe bado kijana mdogo sana''.Duu! Huyu mgeni kwangu kusema ukweli.
Ona sasa unamdhihaki mwenzio kumbe ni wale wale.Ndiyo tatizo la jukwaa kuvamiwa na vitoto vya Division 5 kula kulala, huyo alikuwa ni Mbunge wa jimbo la Lupa mkoani mbeya wilaya ya chunya,kwa sasa Jimbo la Lupa lipo mkoa wa songwe,
Nikiri wazi mkuu ni kweli .ila nimejitahidi kuzama maktaba nimefanikiwa kumjuaKama ndio unamsikia Kasaka leo,niseme maneno matano tu "wewe bado kijana mdogo sana''.
Nyie watoto siku nyingine msibishane nasisi kwenye siasa pambaf
Kuanzia leo shkamoo mkuuNyie watoto siku nyingine msibishane nasisi kwenye siasa pambaf