TANZIA Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Njelu Kasaka amefariki dunia katika Hospitali ya Rufaa Mbeya alipokuwa akipatiwa matibabu

Kama siyo Nyerere basi leo tungekuwa na serikali ya Tanganyika.
Hivyo vichwa vya G55 vilipanga hoja zilizompoteza kabisa mzee wetu mpendwa Julius Kambarage Nyerere ambaye aliishiwa kabisa hoja za kuvikabili vichwa hivyo ikabidi asiye mbunge au kiongozi kwa wakati huo aombe kuingia bungeni ambako aliishia kutishia kwamba kama wataendelea kushikilia hoja hiyo basi yeye atarudisha kadi namba moja na kujitoa CCM.
Daa kweli nimesaka historia yake hadi nimeoa na picha kabisa kweli alikuwa kichwa. Poleni sana
IMG_20200703_172608.jpg
 
Ukikipitia kitabu chake utaupenda uwezo wake wa kujenga hoja na lile vugu vugu la G55 unaona jinsi gani mzee huyu alikuwa hazina kubwa.... mwaka 1995 na nia yake ya kuutaka urais huku sera ya utanganyika haikuwahi kutoka kinywani mwake

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Kabisa hata ongea yake ni mtu mwenye msimamo fulani
IMG_20200703_172608.jpg
 
Huyo Njelu Kasaka alikuwa team ya wabunge 55 maruhuni waliotaka kuvunja muungano likawadodea wao na na waziri mkuu wao John Malechela anyway om Shanti Shanti Shanti!!!
 
Ndiyo tatizo la jukwaa kuvamiwa na vitoto vya Division 5 kula kulala, huyo alikuwa ni Mbunge wa jimbo la Lupa mkoani mbeya wilaya ya chunya,kwa sasa Jimbo la Lupa lipo mkoa wa songwe,
Ona sasa unamdhihaki mwenzio kumbe ni wale wale.
 
Back
Top Bottom