Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,580
- 217,962
Masache Kasaka amethibitisha kifo cha Baba Yake kwa kusema amefariki dunia kutokana na tatizo la moyo lililokuwa linamsumbua. “Wakati anaedelea na matibabu katika hospitali akapata mshituko wa moyo uliosababisha kufariki dunia,” . Msiba uko nyumbani kwake, Chunya mkoani Mbeya, “na mazishi yatakuwa Jumapili (tarehe 5 Julai,2020).”
Kasaka ambaye amepata kuwa mbunge, Waziri na mkuu wa mkoa, alijitoa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015 na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kugombea ubunge jimbo la Lupa.
Mwaka 2019, Kasaka alizindua kitabu chake alichokiita ‘Njelu Kasaka: Maisha, Siasa na Hoja ya Tanganyika-G55.”
Mzee Njelu Kasaka ameacha watoto saba na mjane mmoja.
Baada ya kusoma makala yake nikaisaka CV ya Njelu Kasaka
Njelu Kasaka: Hakuna aliye salama ndani na nje ya CCM
Njelu Kasaka ajiunga na CHADEMA
Wako wapi G55?
Kasaka ambaye amepata kuwa mbunge, Waziri na mkuu wa mkoa, alijitoa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2015 na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kugombea ubunge jimbo la Lupa.
Mwaka 2019, Kasaka alizindua kitabu chake alichokiita ‘Njelu Kasaka: Maisha, Siasa na Hoja ya Tanganyika-G55.”
Mzee Njelu Kasaka ameacha watoto saba na mjane mmoja.
Baada ya kusoma makala yake nikaisaka CV ya Njelu Kasaka
Njelu Kasaka: Hakuna aliye salama ndani na nje ya CCM
Njelu Kasaka ajiunga na CHADEMA
Wako wapi G55?