Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Deo! Jamaa Mzalendo wa Kweli! Hjikwezi, habembelezi cheo chochote kama J Makamba!!
 
Mh. John John Mnyika Mbunge wa Ubungo, Mwadilifu na anaaminika, Akili, Busara na Makini, Mzalendo na Mzoefu ktk Kuongoza
 
Leo ni tarh 2/6/2012, na kwa serkali ni mwaka mpya 2013.
Naomba upige kura yako kwa kutaja jina la mwanasiasa kijana ambaye ni bora ktk kipindi hiki cha miez 6 (nusu mwaka) mpaka sasa.

Karibu kwa kura maana kura yako itamotivate viongozi kutekeleza majukumu yao na itatoa tathmini ya jinsi wanavyokubalika ktk jamii mpaka sasa.

DADA REGIA MTEMA. HILO HATA mtoto atakujibu.
 
Kura zilizopiga kwa majina zaidi ya moja zimeharibika. Zisihesabiwe, amri kutoka tume ya uchaguzi ya taifa.
 
J.J Mnyika ni mwanzo mwisho......huyu Ben Saanane namweka reserve(kichwa changu cha siku za usoni).....kuna mtu kamtaja Willie Malechela, tafadhalini sana tusiharibiane wikend wakuu


No mi napingana na wewe...
Kila mtu anapomtaja mtu wake ukae ukijuwa ana kitu alichokiona kwa huyo alomtaja.
So unapoweka vikwazo na kusema mtu aliyemtaja Le Mutuz Le Baharia Le Big Show kuwa anakuharibia siku hayo yanakuwa ni makosa.
Kuwa na Demokrasia mkuu.
Huo unaouleta ni udikteta.

Aliyemtaja William Malecela ana haki kama wewe uliyemtaja JJ Mnyika.
Ingawa ndioo wote tunajuwa kama Willie ni saa iliokosa mshale wa Dakika lakini kama kuna mtu kamtaja basi na aheshimiwe
 
Kama uko serious na kura yako, kuwa specific na definitions zako, mwanasiasa ni nani? Naona wabunge tu hapa ndio wanatajwa, kama ulitaka kusema wabunge, pls sema, ili wanasiasa wengine amabo si wabunge wasidhani kuwa nao wameshindanishwa na wameshindwa. Pia kijana ni kuanzia na kuishia umri gani? Aui ni kijana kwa tabia zake?
Kama ni wabunge wene umri chini ya 40 basi hebu wataje hapa wotena wewe fanya homework kidogo, usijirahishie mambo sana, utaitwa shallow, au mvivu.
 
Lema Godbles amewashika pabaya magamba anafaa sana kwa ukombozi wa nchi hii aogopi kitu wala mtu ktk mapano ya kupigania haki ya MTZ dhidi ya mafisadi wa ccm
 
Kura zilizopiga kwa majina zaidi ya moja zimeharibika. Zisihesabiwe, amri kutoka tume ya uchaguzi ya taifa.

ww kama nan? Ukitaka hata ww piga kura hata kwa majina saba na yote yatahesabiwa kuwa ni kura na kila jina lililotajwa litahesabiwa kura maana si ndio unaowakubali.
 
Kama uko serious na kura yako, kuwa specific na definitions zako, mwanasiasa ni nani? Naona wabunge tu hapa ndio wanatajwa, kama ulitaka kusema wabunge, pls sema, ili wanasiasa wengine amabo si wabunge wasidhani kuwa nao wameshindanishwa na wameshindwa. Pia kijana ni kuanzia na kuishia umri gani? Aui ni kijana kwa tabia zake?
Kama ni wabunge wene umri chini ya 40 basi hebu wataje hapa wotena wewe fanya homework kidogo, usijirahishie mambo sana, utaitwa shallow, au mvivu.

ww hujui maana ya mwanasiasa? Hujui wanasiasa vijana? Kwa mtazamo wako ww kijana anaishia miaka mingapi? Mi nadhani ww utakuwa ni mmoja wa wanasiasa ambao mpaka sasa wana kura 1 au utakuwa ni mwanasiasa mzee bila shaka.
PIGA KURA YAKO......
 
Back
Top Bottom